Hapo umeongea nduguToka lini coaster ikatelemka Ngorongoro crater?
Poa utawapata wa kujaza hizo nafasi. Ingawa sina hata haja ya kusafiri kwenda huko. Nitakuwa Selous nawinda.Samahanini siwezi kujibu maswali yasiyo na tija. Unauliza mbona bei chee, unategemea ujibiwaje? Au mbona chakula umesahau! Sasa kwanini sija sahau nlivyoviweka ukiona hakijawekwa means hakipo kwenye huduma. By the way tuna nafasi 8 tu.
Note that hiyo ni gharama ya usafiri tu, kiingilio ni bei rahisi kabisa kwa raia wa Tanzania, pia gharama za mwongozaji kwa wote pia ni rahisi sana. Isipokuwa kusafiri kwa watu wengi pamoja kuna raha yake, Ngorongoro ni eneo zuri sana kutembelea hakika hutojuta kutumia muda wako kwenda huko.mmmh! Mbona bei chee hivyo??