Conrad84
Senior Member
- Feb 14, 2016
- 104
- 43
Tusafiri pamoja kutembelea mji wa kale wa Bagamoyo Jumamosi ya tarehe 24/9/2016 kwa gharama ya shilingi 20,000/- tu ikijumuhisha
- Nauli ya kwenda na kurudi,
- Gharama ya mwongozaji (guide) na breakfast.
Safari itaanzia Ubungo saa1:00 asubuhi. Ni safari ya saa1 kutoka Dar es salaam.
How many of you would like to have this tour with us?
Book your Seat today! 0763 553 888/0672 514 440
Email: safaripamoja@gmail.com,Facebook: safaripamojatz