Twende kanisani;ibada njema

Twende kanisani;ibada njema

Pdidy

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,674
Reaction score
37,852
Biblia inasema tusiache kukusanyka kila iitwapo leo
ukiwa kama mpendwa mtumishi wa bwana
twende kanisani tukamwamudu mungu siku ya kesho
nawatakia ibada njema
 
Asante nawe nakutakia ibada njema, usisahau kuwaombea wagonjwa, wasiojiweza na nchi zilizokumbwa na majanga!
 
Ubaguzi huo,mbona sisi wa jumamosi hukutukumbusha wala kututakia ibada njema?
 
Ubaguzi huo,mbona sisi wa jumamosi hukutukumbusha wala kututakia ibada njema?

jamani samahannini si ubaguzi

si mnajua mambo ya network mpaka usiku ;ibada inakuwa ishaisha
tutakumbukana nexty week nawapenda na Mungu awabariki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom