Twawatakia Mfungo mwema......

Twawatakia Mfungo mwema......

Vp wadau mwezi umeonekana wapi hapa tanzania?mwenye taarifa atuwekee jamvini,huko nchini oman umeonekana.tzania tupeni taarifa.
 
Vp wadau mwezi umeonekana wapi hapa tanzania?mwenye taarifa atuwekee jamvini,huko nchini oman umeonekana.tzania tupeni taarifa.
<br />
<br />

http://moonsighting.com/1432rmd.html
 
Inshallah M.Mungu atutilie wepesi kwa masiku haya.
 
mwezi umeonekana mombasa kenya kwa mujibu wa watangazaji wa clouds sports extra. Twendelee kufahamishana zaidi.
 
Mwezi umeonekana jambiani huko zanzibar na ni habari za uhakika kabisa na zimethibitishwa na mamlaka zote husika,inshaalah kesho nisiku yakuanza kufunga swaum ya ramadhan,RAMADHAN KAREEM. RAMADHAN MAQBUL AMIIN!
 
Kwa wale waislamu mwezi wa kuvuna thawabu kwa wingi ndio umeingia.
Nawatakia woote Rmadhani njema na nawausia wajitahidi wautumie
mwezi huu vizuri ili wafikie makusidio yake.
Pia wasi sahau kuiombea nchii hii izidi kuwa na umoja na amani na
iondokane na matatizo mbalimbali
iliyonayo.

Ramadhani L-kariim!
 
Aaamini ya rabi aamiin. ALLAH atukubalie funga zetu. Pia malindi, mtwara na kole wameuona mwezi.
 
Jazakallah kheir
Kwa wale waislamu mwezi wa kuvuna thawabu kwa wingi ndio umeingia.<br />
Nawatakia woote Rmadhani njema na nawausia wajitahidi wautumie<br />
mwezi huu vizuri ili wafikie makusidio yake.<br />
Pia wasi sahau kuiombea nchii hii izidi kuwa na umoja na amani na<br />
iondokane na matatizo mbalimbali<br />
iliyonayo.<br />
<br />
Ramadhani L-kariim!
<br />
<br />
 
Wapendwa kaka,dada,baba,mama na marafiki wooote mnaotarajia kuanza kufunga Mwezi mtukufu kesho.

Napenda kuwatakia mfungo mwema. Nawaomba wanajamvi wenzangu woote tushirikiane kufanikisha mfungo huu kwa kufanya mengi ikiwemo
1. Kupunguza lugha za kukwazana
2. Kupunguza threads za kukwaza (lol tusijetengua saumu za wenzetu
3.Threads za 'kikubwa' jamani zipostiwe kwa wakubwa
4. Na mengineyo ambayo yanahatarisha saumu zetu jamani.





Mfungo mwema kwenu wote.
 
mj1, hata mimi nakuunga mkono; MFUNGO MWEMA, ila kule kwetu uswazi huwa natamani mfungo uwe mwaka mzima.
 
Elia eh..............jamani mwaka mzima? kama nimeelewa nilivyoelewa nakuelewa. Naomba tusilijadili hili hapa tusijechafua 'hewa' humu.
Hivi si kunakuwaga na maneno ya kutia nguvu wanaofunga?? Hairuhusiwi kukata kalenda? Yaani ikipita moja unahesabu kwa nguvu au ni dhambi??

Je wanaruhusiwa kutoa challenges wanazozipata? Mf. wakipishana na wadada (makobe) in nguo zisizo na staha!!
 
Back
Top Bottom