Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,690
- 218,196
Hii ni Kesho tarehe 11/07/2022 kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chadema zilizoko Nje ya Jiji la Dar es Salaam , huko Kinondoni Mtaa wa Ufipa kuanzia Saa 4 Asubuhi .
Mwaipaya ambaye ni Kiongozi wa Uhamasishaji wa Bavicha anatarajiwa kukata mzizi wa fitna kuhusu kutekwa kwake na bila shaka ataweka wazi wale wote waliokuwa nyuma ya mpango huo na Malengo yao .
Wote Mnakaribishwa