Asha Abdala
JF-Expert Member
- Mar 21, 2007
- 1,130
- 44
Kutokana na uzito wa Hotuba ya Dr Slaa, msemaji wa kambi ya upinzani ofisi ya Waziri Mkuu inayotarajiwa kuwasilishwa saa 12 jioni leo; TVT na Star TV wameshinikizwa kuacha kuonyesha kikao cha Bunge. Inaelekea Slaa alipanga kuanika masuala yote ya EPA, Richmond, Kamati ya Bomani, Kiwira nk. Tufanye kampeni ya haraka ya kuwashikiza kuonyesha
Asha
Of course ni aibu kwetu opposition kutokuwa na chombo cha habari chenye kutetea maslahi ya wananchi hata baada ya miaka 15 tangu huru wa vyama vingi uanze. Hivi vyombo vyote vya habari vya TV vinamilikiwa ama na sympathisers wa CCM au watu ambao hawana ubavu wa kusimama wima CCM wakikohoa. This is a wake up call!
Slaa ndio anasoma hotuba yake sasa.