TVT mchemsho kwenye taarifa ya habari

FairPlayer

JF-Expert Member
Feb 27, 2006
4,145
716
Katika taarifa y ahabari leo saa mbili usiku TVT wametangaza kuwa zawadi ya mshindi wa Vodacom miss TZ amepewa gari aina ya RAV 4 Grand vitara ya million 42 na baadaye mwandishi aliyeleta habari ametangaza gari ina thamini ya Million 8 na nusu. Taarifa ya habri tarehe 28 August mwaka 2008

HII NI MCHEMSHO AU?. Halafu tunamulaumu JK wakati Tz wenyewe ni wababaishaji.

TIDO una kazi kweli kweli ndugu yangu.
 
Katika taarifa y ahabari leo saa mbili usiku TVT wametangaza kuwa zawadi ya mshindi wa Vodacom miss TZ amepewa gari aina ya RAV 4 Grand vitara ya million 42 na baadaye mwandishi aliyeleta habari ametangaza gari ina thamini ya Million 8 na nusu. Taarifa ya habri tarehe 28 August mwaka 2008

HII NI MCHEMSHO AU?. Halafu tunamulaumu JK wakati Tz wenyewe ni wababaishaji.

TIDO una kazi kweli kweli ndugu yangu.
mchemsho umeanza hapo..........
 
Katika taarifa y ahabari leo saa mbili usiku TVT wametangaza kuwa zawadi ya mshindi wa Vodacom miss TZ amepewa gari aina ya RAV 4 Grand vitara ya million 42 na baadaye mwandishi aliyeleta habari ametangaza gari ina thamini ya Million 8 na nusu. Taarifa ya habri tarehe 28 August mwaka 2008

HII NI MCHEMSHO AU?. Halafu tunamulaumu JK wakati Tz wenyewe ni wababaishaji.

TIDO una kazi kweli kweli ndugu yangu.

Aliyeandika hiyo habari ni Mwandishi wa Habari au Mhandisi wa Habari. Kazi kweli kweli, unaweza kulia kwa hasira
 
TvT au TBC? wewe mwenyewe umechemsha!

Naona hii ni nyepesinyepesi; Mods vipi ule ukumbi utarudi lini?
 
Katika taarifa y ahabari leo saa mbili usiku TVT wametangaza kuwa zawadi ya mshindi wa Vodacom miss TZ amepewa gari aina ya RAV 4 Grand vitara ya million 42 na baadaye mwandishi aliyeleta habari ametangaza gari ina thamini ya Million 8 na nusu. Taarifa ya habri tarehe 28 August mwaka 2008

HII NI MCHEMSHO AU?. Halafu tunamulaumu JK wakati Tz wenyewe ni wababaishaji.

TIDO una kazi kweli kweli ndugu yangu.
TvT
 
Back
Top Bottom