FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 716
Katika taarifa y ahabari leo saa mbili usiku TVT wametangaza kuwa zawadi ya mshindi wa Vodacom miss TZ amepewa gari aina ya RAV 4 Grand vitara ya million 42 na baadaye mwandishi aliyeleta habari ametangaza gari ina thamini ya Million 8 na nusu. Taarifa ya habri tarehe 28 August mwaka 2008
HII NI MCHEMSHO AU?. Halafu tunamulaumu JK wakati Tz wenyewe ni wababaishaji.
TIDO una kazi kweli kweli ndugu yangu.
HII NI MCHEMSHO AU?. Halafu tunamulaumu JK wakati Tz wenyewe ni wababaishaji.
TIDO una kazi kweli kweli ndugu yangu.