TV zetu Zitatusaidia katika Mchakato wa Kupata Katiba mpya?

Gurudumu

JF-Expert Member
Feb 5, 2008
2,349
261
Leo tarehe 7 April, tukio muhimu lilikuwa ni wananchi kutoa maoni yao kuhusu Mswada wa kutunga sheria ya kutunga katiba mpya Tanzania. Binafsi nilitarajia kuona live coverage ya angalau tv mojawapo zilizopo tz

Asubuhi Star tv wakatangaza kwamba kuanzia saa tatu na nusu wataanza kurusha coverage live ya mjadala kutoka Dodoma ukumbi wa Msekwa. Muda ulipofika kwenye screen ikaandikwa kwamba ni live lakini kukawa kuna mjadala kati ya mtangazaji na mwanasheria fulani huko mwanza ambao uliboa sana. Muda fulani katika background wakaonesha watu kwenye ukumbi wa Msekwa wakiongea kuashiria kwamba mjadala umeshaanza lakini sauti hazisikiki. Kisha wakaaga wakaendelewa na vipindi vingine visivyo na tija.

TV zingine zilikuwa zinaendelea na ama tamthilia, muziki, na mambo mengine ambayo sikuona kama yalikuwa ya muhimu kwa watanzania kuliko mjadala wa public hearing zilizofanyika leo Dodoma, Zanzibar na Dsm.

Wakati huo huo, Citizen tv ya Kenya ilikuwa inafanya live coverage ya kesi ya wakenya iliyokuwa inasomwa kwa mara ya kwanza huko The Hegue. Wakati wa mchakato wa katiba mpya ya Kenya, nilifuatilia matukio mengi muhimu live kupitia tv za kenya, kwa kadri nilivyopata muda.

Tukumbuke kwamba live coverage ndiyo inayoaminika zaidi kuliko news clips ambazo zinaweza kuwa zimetomaswa kwa kutumia teknolojia ya kisasa. Taarifa za kilichokuwa kinajiri Dodoma zilisambaa haraka sana kupitia SMS na blogs. Kwa tv yeyote ambayo lengo lake ni kuhabarisha wananchi ingeunganisha mara moja live ili wananchi watazame na kusikia kinachotokea.

Binafsi ningefurahi sana kupata maelezo nini kilitokea na nini kitatokea huko mbele tukizingatia safari hii ya katiba mpya tz ndiyo kwanza tunaianza.
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya wakenya na sisi na hasa linapokuja suala la utaifa, binafsi wakenya ni inquisitive kuliko sisi. Nakubali kusahihishwa, citizen tv japokuwa ni mali binafsi inatumikia umma wa wakenya, nami nilifuatilia mchakato wa kuandika katiba ya kenya, ilikuwa ni fursa ya kila mmoja kuona na kushiriki huku matukio yote yakioneshwa moja kwa moja.

Hapa kwetu, TBC inachojua nu kucover mikutano ya ccm na miss ni nini sijui, chombo hiki cha umma kinalala kitanda kimoja na serikali badala ya kuwa pamoja na umma:disapointed:
 
Wakati mwingine wakishapokea amri kutoka serikali hata uwalipe bei gani hawatarusha live na inawezekana hata wasiweke kwenye habari. Hakuna tofauti ya tv za binafsi na ile ya umma
 
Leo tarehe 7 April, tukio muhimu lilikuwa ni wananchi kutoa maoni yao kuhusu Mswada wa kutunga sheria ya kutunga katiba mpya Tanzania. Binafsi nilitarajia kuona live coverage ya angalau tv mojawapo zilizopo tz

Asubuhi Star tv wakatangaza kwamba kuanzia saa tatu na nusu wataanza kurusha coverage live ya mjadala kutoka Dodoma ukumbi wa Msekwa. Muda ulipofika kwenye screen ikaandikwa kwamba ni live lakini kukawa kuna mjadala kati ya mtangazaji na mwanasheria fulani huko mwanza ambao uliboa sana. Muda fulani katika background wakaonesha watu kwenye ukumbi wa Msekwa wakiongea kuashiria kwamba mjadala umeshaanza lakini sauti hazisikiki. Kisha wakaaga wakaendelewa na vipindi vingine visivyo na tija.

TV zingine zilikuwa zinaendelea na ama tamthilia, muziki, na mambo mengine ambayo sikuona kama yalikuwa ya muhimu kwa watanzania kuliko mjadala wa public hearing zilizofanyika leo Dodoma, Zanzibar na Dsm.

Wakati huo huo, Citizen tv ya Kenya ilikuwa inafanya live coverage ya kesi ya wakenya iliyokuwa inasomwa kwa mara ya kwanza huko The Hegue. Wakati wa mchakato wa katiba mpya ya Kenya, nilifuatilia matukio mengi muhimu live kupitia tv za kenya, kwa kadri nilivyopata muda.

Tukumbuke kwamba live coverage ndiyo inayoaminika zaidi kuliko news clips ambazo zinaweza kuwa zimetomaswa kwa kutumia teknolojia ya kisasa. Taarifa za kilichokuwa kinajiri Dodoma zilisambaa haraka sana kupitia SMS na blogs. Kwa tv yeyote ambayo lengo lake ni kuhabarisha wananchi ingeunganisha mara moja live ili wananchi watazame na kusikia kinachotokea.

Binafsi ningefurahi sana kupata maelezo nini kilitokea na nini kitatokea huko mbele tukizingatia safari hii ya katiba mpya tz ndiyo kwanza tunaianza.
Kaka....kaka....kakaaaa! Nakubaliana na wewe kwa asil.100 mkuu. Hata mimi leo wameniboa sana hawa wamiliki wa local tv zetu....lakini si bure labda wamepigwa bann kutokana na ile zomea zomea ya mkhuruma hall....si unajua mbinu za ccm? Lakini moto uliowashwa leo pale karimjee hall na Dodoma wenyewe wamejionea.....na kama wanaakili basi wajue kuwa watanzania wa sasa si wale tena wa mwaka 47.
Pili sikunyingi sana sijakuona hapa jamvini kulikoni mkuu? usalama upo?
 
Nilitazama taarifa ya habari usiku huu Channel ten walionesha both Dar na Dodoma. Sikupata habati ya kuona chochote tv zingine, kuna aliyeona kama wameonesha?
 
Leo tarehe 7 April, tukio muhimu lilikuwa ni wananchi kutoa maoni yao kuhusu Mswada wa kutunga sheria ya kutunga katiba mpya Tanzania. Binafsi nilitarajia kuona live coverage ya angalau tv mojawapo zilizopo tz

Asubuhi Star tv wakatangaza kwamba kuanzia saa tatu na nusu wataanza kurusha coverage live ya mjadala kutoka Dodoma ukumbi wa Msekwa. Muda ulipofika kwenye screen ikaandikwa kwamba ni live lakini kukawa kuna mjadala kati ya mtangazaji na mwanasheria fulani huko mwanza ambao uliboa sana. Muda fulani katika background wakaonesha watu kwenye ukumbi wa Msekwa wakiongea kuashiria kwamba mjadala umeshaanza lakini sauti hazisikiki. Kisha wakaaga wakaendelewa na vipindi vingine visivyo na tija.

TV zingine zilikuwa zinaendelea na ama tamthilia, muziki, na mambo mengine ambayo sikuona kama yalikuwa ya muhimu kwa watanzania kuliko mjadala wa public hearing zilizofanyika leo Dodoma, Zanzibar na Dsm.

Wakati huo huo, Citizen tv ya Kenya ilikuwa inafanya live coverage ya kesi ya wakenya iliyokuwa inasomwa kwa mara ya kwanza huko The Hegue. Wakati wa mchakato wa katiba mpya ya Kenya, nilifuatilia matukio mengi muhimu live kupitia tv za kenya, kwa kadri nilivyopata muda.

Tukumbuke kwamba live coverage ndiyo inayoaminika zaidi kuliko news clips ambazo zinaweza kuwa zimetomaswa kwa kutumia teknolojia ya kisasa. Taarifa za kilichokuwa kinajiri Dodoma zilisambaa haraka sana kupitia SMS na blogs. Kwa tv yeyote ambayo lengo lake ni kuhabarisha wananchi ingeunganisha mara moja live ili wananchi watazame na kusikia kinachotokea.

Binafsi ningefurahi sana kupata maelezo nini kilitokea na nini kitatokea huko mbele tukizingatia safari hii ya katiba mpya tz ndiyo kwanza tunaianza.
Kaka hapo kuna tatizo ubwa ingawa watu hawaonekani kujali sana kama itaendelea hivi tutarajie mamo yaleyale ya kulindana na si vinginevyo
 
Kaka....kaka....kakaaaa! Nakubaliana na wewe kwa asil.100 mkuu. Hata mimi leo wameniboa sana hawa wamiliki wa local tv zetu....lakini si bure labda wamepigwa bann kutokana na ile zomea zomea ya mkhuruma hall....si unajua mbinu za ccm? Lakini moto uliowashwa leo pale karimjee hall na Dodoma wenyewe wamejionea.....na kama wanaakili basi wajue kuwa watanzania wa sasa si wale tena wa mwaka 47.
Pili sikunyingi sana sijakuona hapa jamvini kulikoni mkuu? usalama upo?

Nipo mkuu, majukumu, nikaamua kujipa ban kidogo. Nashukuru kunikumbuka
 
Kama TV zilirusha jinsi kura original za urais 2010 zilivyokuwa zinahesabiwa na kujumlisha kabla ya kuleta ile chakachua yao basi tarajia the same trend kwenye mchakato wa katiba kwani ni sawa kujumlisha kula halali za urais CCM wasizojua ni ngapi zao na ngapi za wapinzani mbale ya watu wote. Ni hatari sana kwa masilahi yao na genge lao lote la wapora nchi. Transparent Mchakato wa katiba ni msumari wa moto kwenye heart of CCM, kama ilivyo kuruhusu watu kujumlisha matokeo ya kura za urais na kutangaza, unakumbuka DTV na uchaguzi wa 1995 Zanzibar walipotangaza Seif kashinda kwa kujumlisha kura wao wenyewe walifanywa nini?, walipigwa fine ya milioni tano na kutungwa sheria ya kukataza mtu yeyote asiye tume kujumlisha na kutangaza matokeo ya uchaguzi, hao ndiyo CCM wanapendwa kwelikweli na wananchi na watatawala mpaka 2099
 
Nimeona kama star tv watarusha mjadala wa Dom kuanzia saa 4.30 usiku! Kuna mtu anasema ni baada ya Bunge kuzuia kwenda live! Labda halikutaka fujo ziende live
 
Nimeona kama star tv watarusha mjadala wa Dom kuanzia saa 4.30 usiku! Kuna mtu anasema ni baada ya Bunge kuzuia kwenda live! Labda halikutaka fujo ziende live

Edited tape, only positives views on the eyes of CCM will get chance, with few negatives close to their side to give the programme little credibility. Don't waste your time to watch it.
 
Nimeona kama star tv watarusha mjadala wa Dom kuanzia saa 4.30 usiku! Kuna mtu anasema ni baada ya Bunge kuzuia kwenda live! Labda halikutaka fujo ziende live

Jamani hizo fujo ni zipi? Kwa nini wananchi wakihamasika serikali inasema ni fujo?
 
Edited tape, only positives views on the eyes of CCM will get chance, with few negatives close to their side to give the programme little credibility. Don't waste your time to watch it.


Zingatia kwamba kesho ni siku ya kazi kwa hivyo muda huo wa saa 4:30 ni kupunguza kwa kiwango kikubwa sana watazamaji. Am sure maeneo mengi umeme utakatwa pia!
 
Nilitazama taarifa ya habari usiku huu Channel ten walionesha both Dar na Dodoma. Sikupata habati ya kuona chochote tv zingine, kuna aliyeona kama wameonesha?
Taarifa ya habari ya itv saa mbili usiku nao walionyesha pia!
 
Nilitazama taarifa ya habari usiku huu Channel ten walionesha both Dar na Dodoma. Sikupata habati ya kuona chochote tv zingine, kuna aliyeona kama wameonesha?
Tumaini la watanzania katika habari zinazohusu taifa limebaki kwa IPP media peke yake kwani hao wameonyesha kila kitu ikiwemo ile ya tambe kuzomewa kwa kuzungumza pumba!! lakin9i hilo ni tv lenu mnaloliita la taifa hamna kitu kabisa halijui hata maana ya utaifa ila tutadili nao kwani sio chombo cha CCM ni cha dwananchi!!
 
Leo tarehe 7 April, tukio muhimu lilikuwa ni wananchi kutoa maoni yao kuhusu Mswada wa kutunga sheria ya kutunga katiba mpya Tanzania. Binafsi nilitarajia kuona live coverage ya angalau tv mojawapo zilizopo tz

Asubuhi Star tv wakatangaza kwamba kuanzia saa tatu na nusu wataanza kurusha coverage live ya mjadala kutoka Dodoma ukumbi wa Msekwa. Muda ulipofika kwenye screen ikaandikwa kwamba ni live lakini kukawa kuna mjadala kati ya mtangazaji na mwanasheria fulani huko mwanza ambao uliboa sana. Muda fulani katika background wakaonesha watu kwenye ukumbi wa Msekwa wakiongea kuashiria kwamba mjadala umeshaanza lakini sauti hazisikiki. Kisha wakaaga wakaendelewa na vipindi vingine visivyo na tija.

TV zingine zilikuwa zinaendelea na ama tamthilia, muziki, na mambo mengine ambayo sikuona kama yalikuwa ya muhimu kwa watanzania kuliko mjadala wa public hearing zilizofanyika leo Dodoma, Zanzibar na Dsm.

Wakati huo huo, Citizen tv ya Kenya ilikuwa inafanya live coverage ya kesi ya wakenya iliyokuwa inasomwa kwa mara ya kwanza huko The Hegue. Wakati wa mchakato wa katiba mpya ya Kenya, nilifuatilia matukio mengi muhimu live kupitia tv za kenya, kwa kadri nilivyopata muda.

Tukumbuke kwamba live coverage ndiyo inayoaminika zaidi kuliko news clips ambazo zinaweza kuwa zimetomaswa kwa kutumia teknolojia ya kisasa. Taarifa za kilichokuwa kinajiri Dodoma zilisambaa haraka sana kupitia SMS na blogs. Kwa tv yeyote ambayo lengo lake ni kuhabarisha wananchi ingeunganisha mara moja live ili wananchi watazame na kusikia kinachotokea.

Binafsi ningefurahi sana kupata maelezo nini kilitokea na nini kitatokea huko mbele tukizingatia safari hii ya katiba mpya tz ndiyo kwanza tunaianza.
Kaka mimi nakupongeza sana kwa kuanzisha mada hii kwani vyombo vya habari ni mhimu sana katika mchakato wa kupata katiba mpya tukilifumbia macho tutajikuta tunarudi kulekule!! Naomba wadau tusipuuze hili kwani ni jambo mhimu sana tujadili na tupate suluhisho kwa ajili ya jambo hili kwamba tuhakikishe CCM hawahodhi vyombo vya umma hasa katika kipindi hichi cha mchakato
 
Taarifa ya habari ya itv saa mbili usiku nao walionyesha pia!
Tumaini la watanzania katika habari zinazohusu taifa limebaki kwa IPP media peke yake kwani hao wameonyesha kila kitu ikiwemo ile ya tambe kuzomewa kwa kuzungumza pumba!! lakin9i hilo ni tv lenu mnaloliita la taifa hamna kitu kabisa halijui hata maana ya utaifa ila tutadili nao kwani sio chombo cha CCM ni cha dwananchi!!
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya wakenya na sisi na hasa linapokuja suala la utaifa, binafsi wakenya ni inquisitive kuliko sisi. Nakubali kusahihishwa, citizen tv japokuwa ni mali binafsi inatumikia umma wa wakenya, nami nilifuatilia mchakato wa kuandika katiba ya kenya, ilikuwa ni fursa ya kila mmoja kuona na kushiriki huku matukio yote yakioneshwa moja kwa moja.

Hapa kwetu, TBC inachojua nu kucover mikutano ya ccm na miss ni nini sijui, chombo hiki cha umma kinalala kitanda kimoja na serikali badala ya kuwa pamoja na umma:disapointed:
Tuwatie moyo ITV kwani wanaonyesha ndio pekee wanaotoa taarifa bila uoga wala kigugumizi
 
Back
Top Bottom