swank
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 748
- 1,043
- Thread starter
- #21
Nilinunua kariakoo nikaenda kutumia mlandizi! Nasubiri maelekezotuambie ulinunua wap na ukaenda kutumia wap hapo ndo tutakuelekeza
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilinunua kariakoo nikaenda kutumia mlandizi! Nasubiri maelekezotuambie ulinunua wap na ukaenda kutumia wap hapo ndo tutakuelekeza
Aah kumbe ndo hivyo? Ko hizo kadi zinapatikana wapi maana mm sikuelekezwa mambo ya kadimbali ndio wapi? hapo lazima uwe na kadi au no. za kuingizia malipo huwezi pata channel bure, hizo TV ni nzuri jata iibiwe mbali hao wanaokupelekea picha km ni azam tv wataipata (haziibjwi hizo)
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka kujua alipo! Mkuuu??tuambie ulinunua wap na ukaenda kutumia wap hapo ndo tutakuelekeza
Kwanza kabisa siyo kwamba ulidanganya ni kweli Tv nyingi LED zina inbuilt decoder.Habarini wanajamvi!
Samahanini nina tatizo au shida kidogo imenitokea hapa!
Juzi nilinunua TV (Samsung flat screen) wakaniambia ina king'amuzi ndani na wakaitest palepale na kweli channel nyingi tuu zikaonyesha!
Sasa nimefika huku mpaka sasa nahangaika tuu channel zipo lakin hazionyeshi! Nimemuita fundi nae ameshinda hapa toka asubuhi anatengeneza lakini hakuna mabadiliko!
Naombeni msaada wenu, shida itakua nini? Maana nimeweka mpaka antenna lakini channel bado hazionyeshi!
Shukrani!
Sent using Jamii Forums mobile app
hapana unapata za ndani zote isipo kuwa clouds nafikiri na channel nyingine saw kulipiaBora ununue tu kinģamuzi sijawahi kuona hiyo mambo ikifanikiwa katika zama hizi za digital sanasana utapta tbc tu
Hata mm yalishanikuta. Chamsingi nunua king'amuzi. Yangu haionyesh mpk leo.......nunua king'amuzi mkuuHabarini wanajamvi!
Samahanini nina tatizo au shida kidogo imenitokea hapa!
Juzi nilinunua TV (Samsung flat screen) wakaniambia ina king'amuzi ndani na wakaitest palepale na kweli channel nyingi tuu zikaonyesha!
Sasa nimefika huku mpaka sasa nahangaika tuu channel zipo lakin hazionyeshi! Nimemuita fundi nae ameshinda hapa toka asubuhi anatengeneza lakini hakuna mabadiliko!
Naombeni msaada wenu, shida itakua nini? Maana nimeweka mpaka antenna lakini channel bado hazionyeshi!
Shukrani!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwani continental ndo huwa wanarusha??Kwanza kabisa siyo kwamba ulidanganya ni kweli Tv nyingi LED zina inbuilt decoder.
Kama ulininunia town itakuwa walitumia indoor antena ikanasa ila kama uko pembezoni mwa mji tumia antena ya nje sawa na ile ya star times ielekee huko huko ambapo antena za startimes zinaelekea then waya unaotoka kwenye antena u plug moja kwa moja kwenye tv.
Ingia sertings tafuta digital tv then search. Itakamata channel nyingi lakini zitakazoonyesha hazifiki 25, nyingine zitakuwa scrambled unless siku hiyo mitambo ya continental iwe ina matatizo utaona channel zao zote.
Hata TBC cku hiz haionyesh kabisaBora ununue tu kinģamuzi sijawahi kuona hiyo mambo ikifanikiwa katika zama hizi za digital sanasana utapta tbc tu
Hapana ila kuna sometimes sijui mitambo yao inazingua channel zao ambazo zinakuwa scrambled zote zinafunguka unajikuta una channels hata 40+ ghaflaMkuu kwani continental ndo huwa wanarusha??
Kumkoma nyani geladi
Kama startimes ya antena inashika hiyo tv itashika yani fanya kuchomoa antena kwenye startimes ichomeke kwenye tv bila kubadili uelekeo wa antenaInawezekana tv zenye vingamuzi ndani zinafanya kazi maeneo yamjini namaeneneo yaliyo karibu namji kama ww unakaa kijijini inaweza isishike chanel tafuta dishi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa nani ambae anarusha izo chanel zinazoshikwa na izo tvHapana ila kuna sometimes sijui mitambo yao inazingua channel zao ambazo zinakuwa scrambled zote zinafunguka unajikuta una channels hata 40+ ghafla
Hiyo dekoda ulivyoiona inafanana na channels za dekoda gani??Habarini wanajamvi!
Samahanini nina tatizo au shida kidogo imenitokea hapa!
Juzi nilinunua TV (Samsung flat screen) wakaniambia ina king'amuzi ndani na wakaitest palepale na kweli channel nyingi tuu zikaonyesha!
Sasa nimefika huku mpaka sasa nahangaika tuu channel zipo lakin hazionyeshi! Nimemuita fundi nae ameshinda hapa toka asubuhi anatengeneza lakini hakuna mabadiliko!
Naombeni msaada wenu, shida itakua nini? Maana nimeweka mpaka antenna lakini channel bado hazionyeshi!
Shukrani!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna channel za free to air.Sasa nani ambae anarusha izo chanel zinazoshikwa na izo tv
Kumkoma nyani geladi
tafuta antenna ya nje mkuu na pia mlingoti uwe mrefu