Tv imaan yapata kibali rasmi

Status
Not open for further replies.
Waislam mna matatizo makubwa Sana. Jiangalieni kwenye kioo mtamuona anayewaletea matatizo.
Akili ndogo hiyo na nadhani jana ndo umechaguliwa kuingia kidato cha kwanza....Memkwaa!!Hitler alikuwa muislam,mbona alisababisha matatizo ya vita vya dunia?Tatizo tu huelewi kama ngumi inalipwa kwa ngumi siyo kibao.....!!
 
Mungu ni MWEMA
Kila iitwapo LEO



WAJIREKEBISHE SASA WASILETE KERO KWA TAIFA KAMA MWANZO
 

Alhamdulillah safi sana!
 
hata zitto na arfi wanapigwa vita ndani ya chadema kwa sababu ni waislam tu. WANGALIKUWA WAKIRISTO unadhani makanisa yangalikuwa yafanya vikao vya siri kuwaunganisha. Wakiristo wamejiapanga kila kona

Hata zitto anataka Pinda ajiuzuru sababu ya ukristo wake pia alishiliki njama za kulipua boom arusha sababu anajua kunawakristo wengi
 
Tuache jazba tuipongeze ISLAMIC FOUNDATION kwa kutuletea ITV. swali hapa tuwaombe watuletee vipindi vinavyoijenga jamii. vipindi ambavyo vitapendwa na watu wa imani zote.
 
Hakuna kitu kibaya duniani kama DINI!...tuzipige vita sana dini, najua baada ya miaka mia tatu tu hakutakuwa tena na dini, na Dunia itakuwa sehemu ya Amani tena.
 
Tuache jazba tuipongeze ISLAMIC FOUNDATION kwa kutuletea ITV. swali hapa tuwaombe watuletee vipindi vinavyoijenga jamii. vipindi ambavyo vitapendwa na watu wa imani zote.

Mimi nilijua ITV ni ya IPP, kumbe ni ya Islamic Foundation!!!
:bange::bange::bange:
 
hata zitto na arfi wanapigwa vita ndani ya chadema kwa sababu ni waislam tu. WANGALIKUWA WAKIRISTO unadhani makanisa yangalikuwa yafanya vikao vya siri kuwaunganisha. Wakiristo wamejiapanga kila kona

was chacha wangwe a muslim?
 
Hamtuumizi vichwa kwasababu tunajua kuwa mnachuki na Waislamu, na nawaapia mtajitahidi kushindana na WAISLAMU Lakini hamtoweza kushindana na UISLAMU. TAMBUA UISLAM NI AMANI. sasa nyinyi hamtaki AMANI. Kupata hiko kibali ishakuwa shida
Hebu tazama channel za kikafiri (kikristo/wagalatia) zipo ngapi?

Tunajua hamtoacha chuki zenu ila cha moto mtakiona, kwasababu UISLAMU UNANGUVU.
NOTE: 1. WAISLAMU - BINAADAMU
2. UISLAMU - MUNGU
 
Hata zitto anataka Pinda ajiuzuru sababu ya ukristo wake pia alishiliki njama za kulipua boom arusha sababu anajua kunawakristo wengi

Wacha kuropoka ww..kafulila na lisu nao waislam? c ndo hao vimbelembele wanaomtaka pinda ajiuzuru...
 
Tuache jazba tuipongeze ISLAMIC FOUNDATION kwa kutuletea ITV. swali hapa tuwaombe watuletee vipindi vinavyoijenga jamii. vipindi ambavyo vitapendwa na watu wa imani zote.
Hivi kumbe na ITV imeletwa na Islamic Foundation?!!!!!!!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…