financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,133
- 40,698
Jeshi hilo hadi raha, afu si wengi sana bana acha uoga, mbona mababu zetu waliweza kuwa nao hadi 15, fanya kazi tulee watoto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jeshi hilo hadi raha, afu si wengi sana bana acha uoga, mbona mababu zetu waliweza kuwa nao hadi 15, fanya kazi tulee watoto.
Yeah,ni kweli mkuu....tabia inaweza kutengenezwa na mleziNi kweli but tabia hutengenezwa mostly watoto you can shape vile you like awe
Watoto wa tano!! uzae watano kabisa?Natamani kuwa na watoto sababu napenda sana,what a feeling ile kuona ni kiumbe cha Mungu kupitia wewe/mimi aisee, viniite Mama rahaa,afu I wish kuwa na watoto 5 , 3 baby boys and 2 beautiful girls.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watano..?? Alafu uniruhusu niende kwa wale wadada wachanga wachangaJeshi hilo hadi raha, afu si wengi sana bana acha uoga, mbona mababu zetu waliweza kuwa nao hadi 15, fanya kazi tulee watoto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa na mtoto ni raha sana,hasa ukiwa na mazingira mazuri ya kiuchumi utafurahia sana,wana vituko balaa mana wanakuwaga wageni kwa kila jambo la hapa duniani kwa hiyo mda wote wewe ni kufundisha tuNatamani kuwa na watoto sababu napenda sana,what a feeling ile kuona ni kiumbe cha Mungu kupitia wewe/mimi aisee, viniite Mama rahaa,afu I wish kuwa na watoto 5 , 3 baby boys and 2 beautiful girls.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ufanye matusi afu Mungu asikilize sala zako, ushamgeuza bibi ako naona.Napenda sana watoto ila asilimia 90% ya mademu zangu walitoa mimba zangu kwa kisingizo cha kwamba nawachezea,
NAWAOMBEA KWA MUNGU AWACHOME MOTO MKALI KABISA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Good/bad for you
Mostly ikiwa watoto wanashinda nyumbani who teach them au mashuleni which behavior are they gaining? Do you know the back ground of those people? Do you have proper time to spend with your children?
If not who is spending time with them?
Why are we arguing that our children behavior isn’t good!.
Utaweza fyetua watano wote ?Natamani kuwa na watoto sababu napenda sana,what a feeling ile kuona ni kiumbe cha Mungu kupitia wewe/mimi aisee, viniite Mama rahaa,afu I wish kuwa na watoto 5 , 3 baby boys and 2 beautiful girls.
Sent using Jamii Forums mobile app
Why not mlevi, ntaweza bana, mpaka sahivi nimefyatua 4 ,bado 1 tu lengo litimie
Ahh wapi siamin hata kidogoWhy not mlevi, ntaweza bana, mpaka sahivi nimefyatua 4 ,bado 1 tu lengo litimie
Sent using Jamii Forums mobile app