chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,722
Wanasema kuishi na watu kuona mengi. Kuna mzee wangu ambaye nilinunua shamba kanda ya ziwa kwa wasukuma. Kupiga stori naye na mda mrefu kunieleza kuwa babu yake alikuwa mtawala wa mwisho wa machifu kipindi hiko kanda ya ziwa ikiitawaliwa na Tabora kwa upande wa kahama anadai ilikuwa inaitwa West Tabora zone kama sijakosea.
Babu yake alikuwa anaitwa Chief Iphanda aliyetawala 1907-1963 na kufariki 1970.
Utawala huu ulikuwa 1946 maeneo yaa Ngogwa chiefdom.
Kuleta habari hii ni kwa sababu ya kuona medali hii na ana historia nyingi.
Mzee huyu baba yake alikuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere marehemu Sazia.
Nikipata mda nitawaletea historia maana sehemu naliyopo kuna umbali
Babu yake alikuwa anaitwa Chief Iphanda aliyetawala 1907-1963 na kufariki 1970.
Utawala huu ulikuwa 1946 maeneo yaa Ngogwa chiefdom.
Kuleta habari hii ni kwa sababu ya kuona medali hii na ana historia nyingi.
Mzee huyu baba yake alikuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere marehemu Sazia.
Nikipata mda nitawaletea historia maana sehemu naliyopo kuna umbali