Mvaa Tai
JF-Expert Member
- Aug 11, 2009
- 6,159
- 4,443
Nimekuwa nikiona malalamiko mengi sana kuhusiana na posho za wabunge, mbona Tanzania kuna watumishi wengi tuu wa kawaida kabisa wanao pata wastani wa mishahara na posho zinazofika milioni12 na zaidi kwa mwezi, kwanini tunawaandama wabunge tuu? kwa ufahamu wangu wa kawaida kabisa shs12 kwa mwezi kwa mbunge ni pesa ya kawaida tuu. Mimi ni mjasiria mali wa kawaida kabisa na nina uwezo wa kutengeneza kiasi hicho cha pesa kila mwezi lakini sioni kama ninaweza kuishi maisha ya anasa. Plz M12 siyo pesa ya kumvalia njuga mbunge na kumkosesha raha.