"serikali corrupt huwa
inawaogopa wafanyabiashara, serikali
corrupt huwa haikusanyi kodi bali
huwaonea wafanyabiashara wadogo
wadogo, wale wakubwa inawaacha na
hata ikiwaambia wanasema ah
atatufanya nini huyu?"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.