F Fundifundisho Member Jan 11, 2011 77 18 Dec 14, 2013 #1 hivi lile sakata la huyu jamaa na tuhuma zinazomkabili limeishia wapi..? kwa mwenye taarifa mpya atujuze..!
hivi lile sakata la huyu jamaa na tuhuma zinazomkabili limeishia wapi..? kwa mwenye taarifa mpya atujuze..!
M mugajamii JF-Expert Member Apr 20, 2013 859 488 Dec 14, 2013 #2 Yuko kwenye mfungo issue isahaulike wewe unataka kuiibua tena?
TEMLO DA VINCA JF-Expert Member Sep 1, 2013 3,054 3,312 Dec 14, 2013 #3 hivi hadi humu jf watu ni wasahaulifu hivi??? kweli tz nchi ya upepo...... utapitaa tuu
Tiba JF-Expert Member Jul 15, 2008 4,604 3,163 Dec 14, 2013 #4 No hili sio la kuacha lipite tu tutafuatilia mpaka tujue mwisho wake. Kova akiitisha mkutano na waandishi ili liwe swali la kwanza. Tiba
No hili sio la kuacha lipite tu tutafuatilia mpaka tujue mwisho wake. Kova akiitisha mkutano na waandishi ili liwe swali la kwanza. Tiba
TANMO JF-Expert Member Apr 12, 2008 11,515 11,277 Dec 14, 2013 #5 Hilo songi lilishachuja... sasa kuna singo mpya ya Zzk na Cdm
Fadhili Paulo JF-Expert Member Sep 1, 2011 3,211 988 Dec 14, 2013 #6 ila hilo jina lako mleta mada nashindwa kuelewa aliyekupa alikusudia nini
Nduka JF-Expert Member Dec 3, 2008 8,552 2,360 Dec 14, 2013 #7 Fadhili Paulo said: ila hilo jina lako mleta mada nashindwa kuelewa aliyekupa alikusudia nini Click to expand... Anatangaza biashara mcheki PM atakutajia bei mkamalizane apate kula.
Fadhili Paulo said: ila hilo jina lako mleta mada nashindwa kuelewa aliyekupa alikusudia nini Click to expand... Anatangaza biashara mcheki PM atakutajia bei mkamalizane apate kula.
S Sangomwile JF-Expert Member Aug 17, 2012 3,195 1,021 Dec 14, 2013 #8 Fadhili Paulo said: ila hilo jina lako mleta mada nashindwa kuelewa aliyekupa alikusudia nini Click to expand... Atakuwa msauzi huyo.
Fadhili Paulo said: ila hilo jina lako mleta mada nashindwa kuelewa aliyekupa alikusudia nini Click to expand... Atakuwa msauzi huyo.
Peter jaluo JF-Expert Member Nov 10, 2013 1,750 248 Dec 14, 2013 #9 duh. mkuu! walisema wanamsubiri air port cjui ajarundi mpk leo?
OLESAIDIMU JF-Expert Member Dec 2, 2011 19,139 9,525 Dec 14, 2013 #11 2015 all files will be retrieved!!!!!!! Natumai watu wa kumbukumbu wanaweka back-up files; kama sio mahakamani basi hata majukwaani!!!!!! Wenye mtu wao watachagua nini bora kwa future yao!!!!!
2015 all files will be retrieved!!!!!!! Natumai watu wa kumbukumbu wanaweka back-up files; kama sio mahakamani basi hata majukwaani!!!!!! Wenye mtu wao watachagua nini bora kwa future yao!!!!!
K kigoda JF-Expert Member Oct 15, 2012 1,781 356 Dec 14, 2013 #12 Fadhili Paulo said: ila hilo jina lako mleta mada nashindwa kuelewa aliyekupa alikusudia nini Click to expand... mhh hiv id kama hizo zinaruhusiwa?
Fadhili Paulo said: ila hilo jina lako mleta mada nashindwa kuelewa aliyekupa alikusudia nini Click to expand... mhh hiv id kama hizo zinaruhusiwa?
Fadhili Paulo JF-Expert Member Sep 1, 2011 3,211 988 Dec 14, 2013 #13 kigoda said: mhh hiv id kama hizo zinaruhusiwa? Click to expand... kusema ukweli zilipaswa zisiruhusiwe ila ndiyo hivyo huyu mdada anayo na anaitumia kama hivi.
kigoda said: mhh hiv id kama hizo zinaruhusiwa? Click to expand... kusema ukweli zilipaswa zisiruhusiwe ila ndiyo hivyo huyu mdada anayo na anaitumia kama hivi.