CK Allan
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,784
- 6,178
Haya haya !!
Mei mosi siku ya wafanyakazi imewadia.....
Kuna mabango mengine ambayo "si rahisi" ama ni vigumu kupita nayo kwa mheshimiwa...ama pia si rahisi kuonekana...
Hivyo kupitia hapa "where we dare to talk openly"
Weka bango lako kiroho Safi...
Mimi naanza..
"Zoezi la kupelekwa primary kwa walimu wa sekondari ni uhuni mkubwa"
"Walimu wote wanastahili posho...wasibaguliwe"
"Bado serikali ya viwanda haijafaidisha wafanyakazi"
Haya karibuni
Mei mosi siku ya wafanyakazi imewadia.....
Kuna mabango mengine ambayo "si rahisi" ama ni vigumu kupita nayo kwa mheshimiwa...ama pia si rahisi kuonekana...
Hivyo kupitia hapa "where we dare to talk openly"
Weka bango lako kiroho Safi...
Mimi naanza..
"Zoezi la kupelekwa primary kwa walimu wa sekondari ni uhuni mkubwa"
"Walimu wote wanastahili posho...wasibaguliwe"
"Bado serikali ya viwanda haijafaidisha wafanyakazi"
Haya karibuni