Tuweke jumbe za Mabango ya Mei Mosi 2018 hapa

Tuweke jumbe za Mabango ya Mei Mosi 2018 hapa

"HII NI SERIKALI YA HOVYO TU"
1.Mishahara Duni.
2.Kuua elimu Kwa kuwanyanyasa walimu.
3.Madai kutolipwa ya watumishi.

*HII NI SERIKALI YA HOVYO TU"
 
images
 
Mei mosi watatangaza ma Nurse kuhamia Mama ntilie (mama lishe)
 
"Rais wa Malaika, muda umefika wa kwenda kwa Malaika wenzio Peponi" Wanadamu tumekuchoka.
 
hahaaa ni kweli mkuu,mi sijasoma sana,nillishia darasa la pili,umri umekwenda sioni kama nitaelewa kitu nikirudi shule mukuu
Soma tena;
Unaweza ng'amua kidogo...

Yaan nyie chadema mna matatizo sana

Kama tu elimu hii ndogo tu bado inawasumbua.

Sasa sjui
Kama mngekabidhiwa ikulu kabisa, elimu yetu ya taifa zima hili sjui mngekwenda kuizika handaki lipi nyie.

tapatalk_1524506985250.jpeg
 
Anayetoa Takwimu za uongo kuhusu uchumi kukua akamatwe mara moja.
 
Kwanini Watanzania wataobiliwa na njaa wafe? Kwani pesa unatoa mfukoni mwako!? Acha roho mbaya!!
😡😡😡
 
hahahaaaaaa mbavu zangu mkuu,huyo masoud kipanya atatuua
Yaan mkuu;
Kua na wapinzani hawa wa nchi hii ni hasara kubwa sana kwa taifa.

Yaan ni vilaza kabisa wasojua A,B,C za uchumi

Yaan hawa wanaondoa kabisa maana halisi ya kua na siasa hizi za Vyama Vingi.

Mara mia upinzani usiwepo inchi hii, Tuendelee na JPM daima na milele

Yaan jitu linaibuka from No-where linajidai limesoma uchumi

linakuja na kuzusha na porojo eti
" Ela imeibiwa"

Shwaini kabisa,
Wakati hata halijui hata chembe kiduchu ya kinachoendelea nchini kuhusu
"HATI FUNGANI AMBAZO HAZIJAIVA"

Mh. Kufafanua hapa mpaka jasho lilimtoka, Lakini bado tu mijitu haielewi

2018-04-30-21-55-20.jpg
 
Back
Top Bottom