Tuweke jumbe za Mabango ya Mei Mosi 2018 hapa

Tuweke jumbe za Mabango ya Mei Mosi 2018 hapa

Hatuwezi kuongezewa chochote kwa kuwa uchaguzi bado upo mbali sana...tutaongezewa mwaka 2019 au 2020 hyo ndyo miaka itakayokuwa na mabadiliko!
 
Hayo mabango ndo yamesababisha mei mosi kitaifa kuamishwa kutoka arusha kwenda Iringa waalimu tulikataa mabango ya mkuu wa mkoa tukasema tutabeba yetu
 
Mzee baba wewe ni jembe kaza hapo hapo!
 
83b80b2d22766613d8225367144524e1.jpg
 

Attachments

Back
Top Bottom