Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 523
Wadau, natamani sana CCM ishindwe uchaguzi Igunga, lkn akili yangu haikubali kabisa kuwa CCM, hata ikishindwa; itakuwa radhi kuachia Jimbo la Igunga kwa sababu zifuatazo;
1. Kushimdwa na kuachia Igunga ni ishara mbaya kwa CCM 2015!
2. Igunga lilikuwa ni mali ya CCM, na hawakutarajia kama RA angeachia ubunge
3. Uwezo wa wana Igunga kujitoa muhanga kama Arusha na Mwanza kulazimisha kura zitangazwe ni mdogo, hawana nguvu ya kulazimisha matakwa ya umma.
4.CCM hawako tayari kuaibishwa kwa shujaa wao Mkapa
1. Kushimdwa na kuachia Igunga ni ishara mbaya kwa CCM 2015!
2. Igunga lilikuwa ni mali ya CCM, na hawakutarajia kama RA angeachia ubunge
3. Uwezo wa wana Igunga kujitoa muhanga kama Arusha na Mwanza kulazimisha kura zitangazwe ni mdogo, hawana nguvu ya kulazimisha matakwa ya umma.
4.CCM hawako tayari kuaibishwa kwa shujaa wao Mkapa