NawajuaRock city si ndio Mwanza kwa watani wangu.
Yaani mpaka form one tena unapelekwa Nairobi hujui maana ya buttocks?! Hukuwa hata na akili ya kutafuta maana yake?Umenikumbusha miaka kumi nyuma nilikuwa nairobi form one, nilinunua T. Shirt BIG BUTTOCKS ... Mimi nilikuwa sijui maana yake. Siku moja rafiki yangu aliniambia hiyo inamaanisha SIKUKUU YA MWENYE MATAKO MAKUBWA. Yaani nilienda kuichoma kimya Kimya
Hahaha hata mimi nimewaza hilo mkuuApo ukute *Lugha gongano, wameambizana io his ni ya kiume na Her ya kike wakatupiamo kiulaini!
We upo mkoa gani nambie (nino ng'oneze/whisper)
Chuttle mokoRock city si ndio Mwanza kwa watani wangu.
Ww ndio mhusika mkubwa sanaHahaha mie simo
Wateja wa Tawi jipya la BankHii imetokea huko facebook!Kabla ya kuvaa inabidi kuuliza ipi inavaliwa na yupi !Wenzetu wametupia tu!