RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,797
- 129,627
Huyu mtu alieweka hiki kibao atakuwa amelipwa hela kwa kazi hii na aliemlipa alitakiwa akague sasa sijui hiki kibao kimegeuzwa na upepo? Kipo mtaa wa Ohio Dar.
Hiki Kibao kuna nati moja ya juu imechomoka. Lakini inabidi tuwe serious maanake kimekaa hivyo hivyo muda mrefu sana mpaka mtu unaweza kudhani ndio design yake.
Hiki Kibao kuna nati moja ya juu imechomoka. Lakini inabidi tuwe serious maanake kimekaa hivyo hivyo muda mrefu sana mpaka mtu unaweza kudhani ndio design yake.