Ukiskia IQ za waafrika kiwastani ni below 70 which is considered as 'mental retarded' unaelewa nini blaza?
Tuko kwenye kampeni ya nyumba ni choo alafu kampeni Tena tumia choo!!
Afrika inaumwa bablai
Ukifuatilia sherehe za kupokea ndege warzakuta gharama jumla mil 50 au zaid!! Jiulize hivyo nivitabu vingapi vingeenda mashuleni?