Nikweli kabisa,
Ila kama hujaoa au kuolewa pls usijekujiona kuwa mjanja na ukajifanya kuwa utakachochagua ndio bora sana.
Laiti kama M.MUNGU angelitupa maono makubwa ya kujua ya mbeleni,wala tusingefanya makosa.elewa makosa yapo kwa ajili yetu ili tujifunze, kuna siri kubwa ambayo mimi nawewe hatuijuwi. Yapo makabila hasa wanadada ambao uwa hata kama ukimwoa awezi kuzalia watoto wote,yaani kama una watoto wawili basi mmoja sio wako,
Huwa wanaamini kuwa ukizaa na wanaume tofauti huwa inasaidia ktk masuala ya akili,mikosi na mafanikio.maana yake kama utatokea mkosi basi usiwapate watoto wote maana damu sio moja,na kama umbumbumbu basi usiwapate wote. Nakukumbusha tyu ariff, hakuna anayependa hasara maishani,ila hutokeaga tu.