Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,156
- 55,651
Kuzaa ni jambo muhimu sana...cha muhimu ni kuangalia unazaa na nani;kuna wengine ni vichwa box....usipokuwa nao makini wanaweza wakawaambukiza watoto wakawa mambumbumbu.Ndio maana watoto wanatofautiana vipaji na uelewa(darasani kuna wa kwanza na wa mwisho).Kwa hiyo nashauri tuwe makini katika kuchaguwa wapi pa kuweka mbegu zetu.