Tuwatake radhi waarab!

Tuwatake radhi waarab!

Mkuu haya ni mazoea ya vyombo vya usalama ya kubambikizia watu kesi.Wamezoea kutubambikizia kesi na leo wanafanya hivyo hivyo kwa watu

Tuhuma za Ugaidi zinachafua image ya Nchi husika.Dunia ipo vitani dhidi ya ugaidi sasa unapombambikizia mtu tuhuma kama hizi na kuzitangaza kisha ikaonekana hawahusiki ni lazima uombe radhi kwa namna ile ile uliyotumia kutangaza

Polisi imekamata Polisi 16 kwa tuhuma za kushirikiana na maafisa wa TRA kukusanya ushuru kutoka kwa wafanya biashara wanaoingiza magendo kupitia bandari Bubu ya Mbweni, Kova amekataa kuyataja majina ya hao Polisi amedai uchunguzi bado unaendlea je? ni kwanini walikurupuka sana kulitaja jina la Victor Ambrose mtuhumiwa wa Bomu la Arusha? na wakaenda mbali kuzitaja nchi kwa za wanamotoka watuhumiwa wengine ilihali uchunguzi ulikuwa bado unaendelea? DOUBLE STANDARD
 
Wadau jana nimesikia katika habari za jioni za BBC kwamba nchi wanamotoka wale vijana wanne watuhumiwa wa mlipuko wa Bomu Arusha, wanaitaka Tanzania iwaombe radhi kwa kuwachafua na kuwasababishia usumbufu, Tanzania isipofanya hivyo watavunja uhusiano wa kibalozi na nchi yetu. Je;-

1. Ni utaratibu wa vyombo vya usalama kumtaka radhi mtu au nchi anayotoka kwa kumtuhumu?
2. Hizo nchi hazijawahi kuwatuhumu Watanzania kwa uharifu hata mara moja na kuwakuta hawana hatia?, kama imewahi kutokea walitutaka radhi?
3. Hizi tuhuma kwa hawa vijana zina uzito wa kuvunja uhusiano wa Kibalozi baina ya nchi na nchi iwapo hawatatakwa radhi?

Naishauri Serikali iwatake radhi haraka iwezekanavyo hizi nchi kama ina utaratibu wa kuwataka radhi suspects wote wa uharifu ambao baadaye wanagundulika hawakuhusika, isifanye hivyo kwasababu imetishiwa kuondolewa uhusiano wa kibalozi

Walisema waliwakamata waarabu kwa taarifa walizozipata kutoka suspect wa kwanza ambaye ni Ambroce,sasa iweje waarabu waachiwe dogo abaki ndani? walikurupuka.
 
Nchi inayojiheshimu na kuwapenda raia wake lazima walivalie njuga suala hili sababu huko ni kudhalilishana tu.!!
 
Hapa ndipo panahitajika uzalendo.

Tanzania inahaki na wajibu kwa kujilinda na kujitetea. Inahaki ya kutumia vyombo vyake kumfuatilia mtu yoyote anayehusika au kuonekana kuhusika na usalama wa taifa lake. Inahaki ya kuchukua hatua muhimu na hata kujiridhisha juu ya mtu yoyote yule awe Mwarabu, Mchina, Mzungu, au kabila yingine. Hatua za uchunguzi zimefuatwa na wahusika kuonekana kuwa hawana hatia ndiyo sahihi. Hata hivyo ni uungwana ya kuwa hawakufanyiwa ucheleweshwaji usio na sababu.

Sioni sababu ya kulisemea vibaya jeshi letu hapa.
 
kwakifupi serikali dhaifu pamoja na mr dhaifu wa magogoni waombeni msamaha hao warabu mabwana zenu maana kila siku mr dhaifu yuko nchini mwao kutimiza sheria za ndoa yao nyambafu.
 
Hapa ndipo panahitajika uzalendo.

Tanzania inahaki na wajibu kwa kujilinda na kujitetea. Inahaki ya kutumia vyombo vyake kumfuatilia mtu yoyote anayehusika au kuonekana kuhusika na usalama wa taifa lake. Inahaki ya kuchukua hatua muhimu na hata kujiridhisha juu ya mtu yoyote yule awe Mwarabu, Mchina, Mzungu, au kabila yingine. Hatua za uchunguzi zimefuatwa na wahusika kuonekana kuwa hawana hatia ndiyo sahihi. Hata hivyo ni uungwana ya kuwa hawakufanyiwa ucheleweshwaji usio na sababu.

Sioni sababu ya kulisemea vibaya jeshi letu hapa.
Hakuna haja ya kulitetea Jeshi ni kwamba wamekwenda kinyume na weledi wa kazi, hawakutakiwa kuwataja kama upelelezi ulikua haujakamilika, kuna ubaya gani wakisema tu kua polisi inawashikilia watu kwa upelezi zaidi. Shida ya polisi wetu wnafanya kazi kwa msukumo wa wanasiasa..hapo ndio tatizo lilipo! Wangewapeka mahakamani na kuwafungulia mashtaka hapo kungekua hakuna haja yoyote ya kuomba radhi kwa kua wamefuata taratibu za nchi...ila kwa hili wamechemka hakuna kuwatetea hata kidogo period
 
bora uhusiano uvunjike, lili li-mkataba la Mgumia na Mwinyi kuwauzia loliondo life.
 
Mi nadhani wawatake Radi tu yaishe kwani itatughalimu nini? kwasababu uhusiano wa kibalozi ukifungwa na hizi nchi itakuwa na impact kubwa sana kwa Watanzania hebu jaribu kufikiria ikitokea Saudia Arabia inaondoa Ubalozi Tanzania, watu wanaokwenda kuhiji itabidi wafuate Visa nchi jirani, itawaumiza sana Watanzania[HAKUNA SABABU YA KUWAOMBA RADHI; WALIKAMATWA KWA KUHISIWA LABDA KWA SABABU WAO NDIO WAASISI WA UGAIDI DUNIANI
 
Huu utakuwa wendawazimu kuwataka radhi waarabu hawa ndio makubuu wa kujitoa mhanga, na kuua binadamu wenzao, hata hivyo kwa mjibu wa tamaduni na imani za dini zao hupongeza na kubariki wanaoua kwa kisingizio kuwa wanaoua kwa ajili ya kuteteta imani yao watakuwa katika thawabu na wataketi katka mkono wa kuume kw Mungu.
 
Huu utakuwa wendawazimu kuwataka radhi waarabu hawa ndio makubuu wa kujitoa mhanga, na kuua binadamu wenzao, hata hivyo kwa mjibu wa tamaduni na imani za dini zao hupongeza na kubariki wanaoua kwa kisingizio kuwa wanaoua kwa ajili ya kuteteta imani yao watakuwa katika thawabu na wataketi katka mkono wa kuume kw Mungu.

Ebana hata mimi nimewahi kusikia kwamba wanahonga ili wakajitoe muhanga, sijui kama kuna ukweli katika hili
 
Ni uzembe wa jeshi letu, walikamata tu watu ilimradi waonekane na wao wanafanya kazi. Matokeo yake ni haya. Eti mtu anakamatwa kwakuwa mwarabu na aliingia siku kabla akaondoka siku moja baadae! Mi sijawahi kusikia duniani popote mambo haya. Tena waombe radhi na fidia ya usumbufu ilipwe ili next time watumuie akili.
 
Next time watafikiri kabla kutenda jeshi letu limejaa askari vilaza juu mpaka chini.
 
Mkuu haya ni mazoea ya vyombo vya usalama ya kubambikizia watu kesi.Wamezoea kutubambikizia kesi na leo wanafanya hivyo hivyo kwa watu

Tuhuma za Ugaidi zinachafua image ya Nchi husika.Dunia ipo vitani dhidi ya ugaidi sasa unapombambikizia mtu tuhuma kama hizi na kuzitangaza kisha ikaonekana hawahusiki ni lazima uombe radhi kwa namna ile ile uliyotumia kutangaza
Infatuation at its best, it can also blind ones thinking and the issue at stake.
 
Maskini tanzania kama yatima kuonewa tu hawa watu wameiba wanyama wetu tumenywea, wamemuonga hadi fastjet suti tukawapigia makofi na kwasasa wameachiwa kwa hisani ya safari za fastjet uarabuni bado wanataka tuwape faru kisa walilipua arusha kwa makusudi.


"huku mjini hakuna shamba naambiwa silimi,kunguru kaiba nyama naambiwa ni mimi" ksal $ ferooz
 
Huu utakuwa wendawazimu kuwataka radhi waarabu hawa ndio makubuu wa kujitoa mhanga, na kuua binadamu wenzao, hata hivyo kwa mjibu wa tamaduni na imani za dini zao hupongeza na kubariki wanaoua kwa kisingizio kuwa wanaoua kwa ajili ya kuteteta imani yao watakuwa katika thawabu na wataketi katka mkono wa kuume kw Mungu.
Ni kama Askofu Joseph kibwetere,Fr.Ursala Kamuhangi,Credonia Mwerinde,na Fr.Dominic Kataribaro walivyowauwa waumini wao kanisani kwa kuwachoma moto,baada kuchukuwa mali zao,na kusema wanakwenda kwa Yesu,waliwaua waumini 1000.
Na Jonestown,huko Guyana,baada ya mchungaji Jim Jones,kuwaua kwa sumu ya cyanide,aliwauwa waumini 909.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom