Tuwataje wanaotuharibia..

Tuwataje wanaotuharibia..

anayeongza katika wote ni huyu mzee ambaye hana wizara maalum,naniiii huyuuuu eeehh Mak Mudondoshwa
 
Wakuu,

Hebu tuwataje viongozi wa serikali kwenye nafasi mbali mbali ambao wao hawastahili kuwepo katika nafasi hizo, na uwepo wao ndiyo kikwazo cha maendeleo! hawa wamewekwa tu ili kujaza nafas bila kuzingatia utashi. Naanza na Mulugo, endelea kutaja.....

wakurugenzi wote wa maendeleo tz majiji na miji. Unawezaji kuendeleza nchi kwa kusimamia ujenzi holela wa makazi ya watu na viwanda na hii ni toka tupate uhuru .toka uhuru viwanja vilio pimwa kama makazi nchi nzima avizidi laki 2.tulipo pata uhuru tulikuwa milion 6 na hadi leo tupo zaidi ya milioni 45 .kama ni mimi rais leo ningetangaza makazi holela kuwa janga la taifa
 
Nahodha huyu pia naomba mwenye CV yake aniwekee na mzeee wa mikasi

Kwa jina anaitwa shamsi vuai nahodha mzaliwa wa makunduchu zanzibar ni form four failure twice times baadae akaenda kusoma uwandishi wa habari mpaka mwaka 2000 alipoibuliwa na aman abeid karume kuwa waziri kiongozi
 
Nahodha huyu pia naomba mwenye CV yake aniwekee na mzeee wa mikasi

Kwa jina anaitwa shamsi vuai nahodha mzaliwa wa makunduchu zanzibar ni form four failure twice times baadae akaenda kusoma uwandishi wa habari mpaka mwaka 2001 alipoibuliwa na aman abeid karume kuwa waziri kiongozi
 
anayeongza katika wote ni huyu mzee ambaye hana wizara maalum,naniiii huyuuuu eeehh Mak Mudondoshwa

Aisee ni kwamba huyu jamaa wanamwogopa? na wakashindwa kumweka nje ya baraza la mawaziri? hii ndiyo Tanzania!!
 
Kwa jina anaitwa shamsi vuai nahodha mzaliwa wa makunduchu zanzibar ni form 4 failure twice times baadae akaenda kusoma uwandishi wa habari mpaka mwaka 2001 alipoibuliwa na aman abeid karume kuwa wazir kiongoz

kilaza!
 
Hadi mnadhimu mkuu wa majesh yetu na yeye hafai kuwa katika nafasi aliyonayo..Kisa, ni ushiriki wake katika uchaguzi 2010 alikuwa akitoa vitisho sana kwa wapinzani kwa mgongo wa ccm na kuwatisha wananchi! poor him...
 
Mmh niwaonapo Komba na Maji marefu bungeni napata mashaka sana na watz wa majimbo ambayo wamewapeleka hawa watu kuwa wawakilishi wao.
Achilia mbali kiwango chao cha elimu ambacho lazima kitakuwa chini ila aina ya kazi walizokuwa wanafanya awali hazionyeshi kama wana uwezo wa kulikomboa taifa hili.
Sijajua Maji Marefu kama bado anaitwa Profesa au ameamua kuachana na cheo chake...
 
Mkurugenzi wa jiji la MWANZA KABWE.WASIRA,MANSOOR mbunge wa kwimba
 
wakurugenzi wote wa maendeleo tz majiji na miji. Unawezaji kuendeleza nchi kwa kusimamia ujenzi holela wa makazi ya watu na viwanda na hii ni toka tupate uhuru .toka uhuru viwanja vilio pimwa kama makazi nchi nzima avizidi laki 2.tulipo pata uhuru tulikuwa milion 6 na hadi leo tupo zaidi ya milioni 45 .kama ni mimi rais leo ningetangaza makazi holela kuwa janga la taifa
unaweza kutangaza tu, mbota tanzania kuna marais wengi, mfano slaa naye ni rais, na wewe unaweza jipa na kujitangaza, then unatangaza hilo janga la kitaifa la makazi.
 
Mzee mwenye kichwa kufugia nywele (mnamuita muraaaa Werema), mzee wa Bunda (aka tyson), first class economist (lameck madelu au mwigulu nchemba) ...... aahhhhh orodha ndefu choka mie
 
Back
Top Bottom