Tuwataje Wabunge wetu 75

Tuwataje Wabunge wetu 75

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,140
Reaction score
18,004
Pale ambapo Bunge letu litasinyaa na kubaki na Wabunge 75 tu toka hawa wa sasa zaidi ya 260,hawa wangefaa kuwa Wabunge katika Bunge Jipya:1. Tundu Antipas Mughway Lissu 2. Kangi Lugora 3. Deo Firikunjombe 4. Halima Mdee 5. Freeman Aikaeli Mbowe 6. Godbless Lema ..................Karibuni! Zingatio: Wanaume 35 na Wanawake 35 (achilia mbali watakaoteuliwa) Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
 
Yupo pia Chiku Abwao, Mch. P Msigwa.....
 
kwa katiba hii wale wanaojibu hotuba za upinzani wanapungua
 
mkuu bunge letu la Tanganyika litakuwepo kama kawaida.. Hilo unalolisema ni shirikisho (jamhueri ya muungano) sasa wewe kwa akili yako linchi lote liwe na wabunge 70 itakuwaje.. Ebu shirikisha kidogo kichwa na ubongo
 
vuta nikuvute unatia aibu jukwaani..uwe unatumia kichwa unapowasilisha mada humu jukwaani
 
mkuu bunge letu la Tanganyika litakuwepo kama kawaida.. Hilo unalolisema ni shirikisho (jamhueri ya muungano) sasa wewe kwa akili yako linchi lote liwe na wabunge 70 itakuwaje.. Ebu shirikisha kidogo kichwa na ubongo
Mkuu, mimi nawazungumzia waliotajwa kwenye Rasimu. Hao ambao hawakutajwa sikuwazungumzia.Unawajua watakuwa wangapi?
 
sasa tutakuwa na serikali yetu ya Tanganyika, ambapo wabunge woote na mawaziri wote watakuwa ni wa Tanganyika tu. Hakuna wazanzibar kutia mguu kwenye bunge letu! Kama wao walivyo na baraza la wawakilishi lisilo na wa Tanganyika.. Nadhani sisi wa Tanganyika tumelamba dume.. Tulikuwa tunawalipa wabunge wa zanzibar sasa wakalipwe kwao! Makamu wa Rais akalipwe kwao!

Sasa tutakuwa na serikali yetu isiyo na mzanzubari hata mmoja! Nafurahi sana..
Zile kelele za waliberali sasa wazipeleke zanzibar..
Uwezekano wa cuf kufa huku bara unaonekana kwani kina nguvu znz!
 
Nadhani kila mkoa atatoka mbunge mmoja wa kuingia kwenye bunge la jamhuri...
Mkuu, mimi nawazungumzia waliotajwa kwenye Rasimu. Hao ambao hawakutajwa sikuwazungumzia.Unawajua watakuwa wangapi?
 
We unafikiri CDM kitapata walau kiti kimoja cha mbunge wa shirikisho? Yani wa muungano? Hapa CDM hamtoki yangu macho
JF ni jukwaa huru ndugu, hapa sio ulingo wa CDM na CCM...kuna wengine sisi ni Watanzania tusiofuata itikadi za vyama sijui kama umelifikiria hilo
 
Back
Top Bottom