Tuwasimange mpaka waone aibu

Tuwasimange mpaka waone aibu

Yaani wewe fikiria gharama za zabuni iligharamia serikali si uchuro huo, bilioni tatu watu Wamekula chai...Halafu unaniambia lipa Kodi lipa Kodi dadeki lazima tuuane.
Hatuna namna tuwachambe tu hata ikibidi na magunzi😂
 
Back
Top Bottom