MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 8,372
- 22,401
Naye bwana mahesabu apunguze double standard kuna sehemu hajaweka wazi hela zaidi ya hizo za uwanja zilizopigwa ili watu wapate uniform mpya kwa maelezo ya zile zilichafuka mno na wengi zilichanika wakati wa purukushani .
Maswaiba wakapeana tenda uniform zikaletwa ila hela halisi ikaongezwq masifuri ,sasa kumekuwa kwa moto hesabu hazibalance kila uchwao utawaona viongozi mara wako kwenye operation ya kusimamia na ukaguzi sijui wa nini ila ukweli ni kuwa hawataki kukaa ofisini maana bwana hesabu na watu wake kila wakienda ili waelezwe ukweli hakuna aliye tayari kusema kwa jina siwezi kumsemea afa...
Nadhani sasa watatulia ofisini si hesabu zishqpita ,sasa watu wa hivyo unadhani hata ukiwasimanga wataumia au watawaza basi .
Tanzania ni nchi yetu ila inaumiza mno
Maswaiba wakapeana tenda uniform zikaletwa ila hela halisi ikaongezwq masifuri ,sasa kumekuwa kwa moto hesabu hazibalance kila uchwao utawaona viongozi mara wako kwenye operation ya kusimamia na ukaguzi sijui wa nini ila ukweli ni kuwa hawataki kukaa ofisini maana bwana hesabu na watu wake kila wakienda ili waelezwe ukweli hakuna aliye tayari kusema kwa jina siwezi kumsemea afa...
Nadhani sasa watatulia ofisini si hesabu zishqpita ,sasa watu wa hivyo unadhani hata ukiwasimanga wataumia au watawaza basi .
Tanzania ni nchi yetu ila inaumiza mno