Hii thread kwa kweli imenisikitisha sana..michango ya watu kweli ni aibu kwa taifa....thumb up mkuru
StayReal iknow unajisikia jinsi unavyosoma maoni wa wanaJF kwenyed thread hii...ila amini mkuru lengo lako litafanikiwa usikatishwe tamaa na watu ambao wameshakatishwa tamaa na serikali yao na wao wenyewe kujiona hawana pa kwenda....
Hawa wote wanaokukejeli mkuru achana nao.....kwanza hao sasa akili zao zinawaza uzinifu,ulevi na umalaya kwenye sikukuu ya noel na mwaka mpya......hizi ndio akili za watz wanaoshi bongo mkuu iknow utakuwa majuu...unaona watu walivyo busy,wadadisi wenye kutaka kujua na kupiga hatua ndio maana umekuja na this idea....lakini sijui umeiweka pasipo stahili au la......?
Mkuru
StayReal hawa ndio wanaJF wanaotaka mabadiliko kuondoa mafisadi kwa kutu mia chama chao Chadema....ndio hawa hawa wanaompiga vita Raisi KIkwete na serikali yake kuwa haiwajali,fisadi na isiokuwa na muelekeo mkuru ndio hawa hawa WanaJF mkuu wanaojiita great thinker na hii ndio thinking capacity yao mkuru StayReal.....
Majority ni wakazi waliopo tanzania.....labda thred hii itapata michango hasi nyakati za usiku au weekend ambapo wengi wao watakuwa mbali na kompyuta za ofisini au wako kwenye klub za usiku wakilewa.Labda mkuu tuombe Mungu baadae kidogo wakija wanaJF wa majuu watakupa clue nzuri.....
Amini nakuambia wanaJF walioko bongo ndio wangekuwa mstari wa mbele kukusaidia kama hawakuelewa basi wangekuuliza kama great thinker wajua mpango mkakati wako ukoje.....sio kuandika uharo wa bata kama wanavyofanya great thinker hawa.....
Nimesikitika sana maana idea yako ndio inafanya kazi majuu na tigers contries....hawajui kama hii unayotaka kutoa sio scolarship ni just a grant itakayomuwezesha mlengwa kusoma vizuri na itaongeza idadi ya wasomi wanasayansi....wenzentu sasa hivi UK wana mkakati wa kuwafanya wanafunzi tangu kindergaten wapende masomo ya sayansi hasa hesabu...wanajua faida ya masomo haya.....
Imagine kama tungekuwa na Engineers wa kutosh,maDR wa kutosha tungekuwa wapi? hata gharama za ujenzi wa barabara zingekuwa chini....pesa nyingine ingepelekwa kwenye sekta nyingine....kuna faida yake kuwa na idadi kubwa ya mainjinia....nchi nyingi zimeendelea kwa kutumia sekta ya uzalishaji ni chache sana ambazo zimepiga hatua kwa kutumia services sekta.....angalia China waliazia wapi? someni green revolution ya china kati ya 1940 mpaka 1970's kile kilimo wangebweteka kwenye jembe la mkono angefika hapa walipo....wali turn kwenda kwenye kilimo cha teknolojia......
Korea,Taiwan miaka ya 60 tulikuwa nao sawa kiuchumi....hii leo wapo dunia nyingine...wameendelea vipi? technolojia imewabeba.....tecknolojia is one of the key factor of economy growth..hizo sumsung mnazotamba nazo bar zatoka kule,LG,Hytundai from Korea....tafitini mjiulize kwa nini east asia ni so rich....mkitaka nitafungua specual thread juu ya hilo....
Kwa hiyo jambo alilofanya mkuru StayReal ni mwanzo mzuri sio kubezwa na kejeli zenu....