Tuwasaidie dada zetu walio vyuoni

Tuwasaidie dada zetu walio vyuoni

Labda tuanzie hapa,
Tufanye kwa Maisha ya UDSM, waweza kuniambia Tshs 3,000/= kwa siku ataitumia vipi??
 
huna ndugu yako wa karibu anayehitaji msaada kama huo? kama alivyosema jamaa hapo juu, nadhani una lako jambo, ungefunguka zaidi tujuwe nia yako. hivyo vigezo ni vingi mno, na kwa hiyo pesa ni kama huyo atayekuja atakuwa mtumwa.
Yep am ready for that, atleast nitakuwa nimejaribu kusaidia mkuu, there are so many people who have helped me na kunifikisha hapa nilipo, they just had that little faith and I never let them down!
 
Si dhani kama wale wakina Dada wanakosa pesa ya Kula, Ila chuoni ni zaidi ya kula, Vyuoni kuna Competition ya Kufa mtu kati ya wasichana,
Wasichana Vyuoni wanashindana asikumbie mtu na Mashindano yuao hayako kwenye kula bali ni kwenye vitu kama
- Mavazi
- Saluni
- Simu
- Na vyombo vya Ndani,

Nakumbuka nikiwa chuoni MZUMBE nilikuwa nikienda kwenye room za Wasichana ambapo unakuta wasichana wa nne wana share room moja, kilicho kuwa kikiniacha hoi nin kwamba ndani ya room moja kuna TV nne, kuna Fridge nne, kuna majiko ma nne na **** Music systeam nne, Haya ndo maisha wanayo ishi wasichana vyuoni na room zao ukiingia unaweza fikilia uko Nyumbani make kuna kuwa hakuna tofauti na Nyumbani kuna ambao hudiriki hadi kununua SOFA na kupeleka hostel, haya yote ni Mashindano,

So Maisha wanayo ishi wasichana vyuoni ni tofauti na wavulana ambapo wavulana unaweza hata kugongea Dawa ya meno, unaweza kugongea sabuni unaweza hata kugongea mafuta ya kujipaka, lakini si kwa Masichana
 
  1. Awe ana wastani usiopungua 65
  2. Kila wiki lazima ajitolee sehemu yeyote sio chini ya masaa mawili, asifanye sehemu moja zaidi ya mara tatu ndani ya mwezi
  3. Kila mwezi lazima asome journal paper tatu topic ambayo nitamchagulia na aandike summary ya hizo paper
  4. Kila wiki lazima anipe report ya sehemu aliyojitolea
  5. Kila mwezi kutakuwa na report ya nini alifanya ndani ya huo mwezi

We utakuwa unaulimbukeni flani hivi, then ni mjivuni sana! Halafu utoto unakusumbuwa pia! Ila ukikuwa utaacha.

Hivi huyo mwanafunzi wa mwaka 3 na 4 atakae kuwa na muda wakutekeleza hayo masharti yako, na hizo assignments za courses zake azifanye saa ngapi? Project zake atafanya kwa muda gani? Are you ok? Yaani kwa Sh zako 3000 ndio utoe masharti kama vile wewe ndo unaeanza kumfundisha nini maana ya shule na yeye bado hajui maana ya shule! Hee kwa hizo sh 3000 zako ndo umtaftie chanzo cha kumla uroda...Mwehu we!

The Project is egoistic based and thus doomed to fail before it even starts. It is just illogical and against all odds to. Hapa jamaa anatafuta namna ya kujisaidia siyo ya kusaidia.
 
Mkuu kama nilivyosema hapo juu am already committed somewhere hata sijui kama nitawahi onana naye, i just need to help wakuu


Sawa kwani hata mimi niko committed ila nikipata chance najirusha. Ni kawaida yetu binadamu, wengi waliokusoma wanaelewa lengo lako ni nini. Yangu macho na masikio kuanzia sasa.
 
Ungejua niko wapi mkuu, am too far hata sijui if i will ever see her, mbona guys mmemaindi sana hii inshu

Mkuu wazo lako si baya lakini sidhani kama ulisha fanya research vyuoni na kujua kweli wanashida ya chakula, nazani maelezo yangu umeyaelewa hapo juu, huo ndo ukweli vyuoni, wasichana wanataka kuishi maisha ya hali ya juu kabisa that is why inafikia mahali wana fanya njia za mdadala
 
Mkuu wazo lako si baya lakini sidhani kama ulisha fanya research vyuoni na kujua kweli wanashida ya chakula, nazani maelezo yangu umeyaelewa hapo juu, huo ndo ukweli vyuoni, wasichana wanataka kuishi maisha ya hali ya juu kabisa that is why inafikia mahali wana fanya njia za mdadala

Mkuu kwani nikimtumia hiyo pesa akatumia kidogo on food na nyingine akafanya mambo yake kuna ubaya gani. Guys please lets be objective hii kitu inawezekana sana.
 
You teach someone how to fish not giving him/her fish

hapa unaji contradict! Quite against this Chinese proverb! Giving money is giving fish. Why girls? Why engineering? Why one? Why 3000? Why assignments? Why talk to her? Tuliosoma philosophy tunasema, 'i smell a contra entry' in the making!
 
Si dhani kama wale wakina Dada wanakosa pesa ya Kula, Ila chuoni ni zaidi ya kula, Vyuoni kuna Competition ya Kufa mtu kati ya wasichana,
Wasichana Vyuoni wanashindana asikumbie mtu na Mashindano yuao hayako kwenye kula bali ni kwenye vitu kama

Ndio maana
- Mavazi
- Saluni
- Simu
- Na vyombo vya Ndani,

Nakumbuka nikiwa chuoni MZUMBE nilikuwa nikienda kwenye room za Wasichana ambapo unakuta wasichana wa nne wana share room moja, kilicho kuwa kikiniacha hoi nin kwamba ndani ya room moja kuna TV nne, kuna Fridge nne, kuna majiko ma nne na **** Music systeam nne, Haya ndo maisha wanayo ishi wasichana vyuoni na room zao ukiingia unaweza fikilia uko Nyumbani make kuna kuwa hakuna tofauti na Nyumbani kuna ambao hudiriki hadi kununua SOFA na kupeleka hostel, haya yote ni Mashindano,

So Maisha wanayo ishi wasichana vyuoni ni tofauti na wavulana ambapo wavulana unaweza hata kugongea Dawa ya meno, unaweza kugongea sabuni unaweza hata kugongea mafuta ya kujipaka, lakini si kwa Masichana

Ndio maana nasema mkuu, i need someone who real need help, i have been to college mkuu, sikuruka hiyo step, si lazima atumie for food only she can use it for other small things
 
hapa unaji contradict! Quite against this Chinese proverb! Giving money is giving fish. Why girls? Why engineering? Why one? Why 3000? Why assignments? Why talk to her? Tuliosoma philosophy tunasema, 'i smell a contra entry' in the making!

Umeona those criteria mkuu, ndio maana she has to work for it. Why do you guys think this cant work, Kwa hiyo mkuu unataka nimpe pesa tu then i forget about her progress, i want to us the model which i believe will work. lazima awe na responsibilities
 
Labda tuanzie hapa,
Tufanye kwa Maisha ya UDSM, waweza kuniambia Tshs 3,000/= kwa siku ataitumia vipi??

Mkuu sijasema nataka kufulfill all her needs, i just want to chip in mkuu, am not offering a full scholarship but a small help
 
Wanakuponda hawajui shida na yawezekana hata chuo hawajafika chuo. Kuna watu siku mbili wanakunya maji na ya tatu ndo wanakula

tumepita huko mkuu! Hebu jibu haya msaidie, why one girl? Why engineering? Why 3000? Why not donate money to Loan board that knows needy students? Oops
 
Mkuu Stay Real hali ni mbaya sana vyuoni mwetu hasa kwa kina dada,wazo lako ni zuri lakini(BUT) 3000/- ni peanut hasa kwa Binti wa aina ya unayemtaka... angekuwa Ed. angalau. ongeza iwe 30,000/- kwa siku uone foleni itakavyokuwa kubwa...
 
Nimeamua KUJICOMMIT kutoa huo mlo mmoja kwa msichana atakaye kizi vigezo vyangu kwa miaka miwili ya mwisho ya masomo yake(Wale wanaongia mwaka wa tatu). Nataka nimpe Tsh 3000 kila siku kwa hiyo miaka miwili. Nikifanya hivyo nitakuwa nimesaidia kuokoa mtu mmoja kutokuuza mwili wake kwa sababu ya chakula. Sababu miye niko kwenye mambo ya engineering, huyu binti lazima awe anafanya engineering kiwango cha degree chuo chochote ndani ya Tanzania na ni mtanzania pia.
Vigezo vya kumaintain hii offer

wakitokea zaidi ya mmoja wenye hivyo vigezo utawasponsor wote?
 
Yep am ready for that, atleast nitakuwa nimejaribu kusaidia mkuu, there are so many people who have helped me na kunifikisha hapa nilipo, they just had that little faith and I never let them down!

Na wao walikupa masharti mengi
 
Back
Top Bottom