farusofia
JF-Expert Member
- Sep 18, 2017
- 539
- 548
Dozi zimeanza kufanya kaziNdungai ameruhusu wabunge kufunguka namana hiyo........naona anaelekea kupona au akili zimeanza kumrudi.
Dozi zimeanza kufanya kaziNdungai ameruhusu wabunge kufunguka namana hiyo........naona anaelekea kupona au akili zimeanza kumrudi.
Unajiuliza nguvu kubwa hii inayotumika kutaka kuwaaminisha watu kuwa yuko sawa!!! Huku mawazo mbadala kwao ni haramu100% hafai na hana nia njema na nchi yetu.
Wakifunguka wao CCM ni sawa!!. Lakini wakifunguka kina Zitto, Lissu, Mdee nk mahabusu na Nissan inawahusu?! Tanzania ni nchi ya ajabu na ubaguzi.Afadhali wameanza kufunguka maana hili jinamizi la uchumi na wapika data ni tishio na adui wa Taifa
Dear Mgibeon nchi yetu iliendeshwa na uchumi hewa. Acha sasa uchumi wa sekta binafsi ujiendeshe wenyewe, ukue wenyewe.Deni la Taifa limefikia wapi?
DSE hali ikoje?
Kwenye mabenki hali ikoje?
Mmejenga viwanda vingapi? Nipe physical address ya vitano tu plz.
Hawa ndo vireherehe
Hapana Mkuu, hawa ndiyo wale vijana wanaojipanga kwenye mstari na magagulo yao ya kijana kama shuka la kuzungushia kitanda cha hospital chenye mgonjwa aliyepoteza maisha muda mfupi Uliopita huku Wakimpigia VINUBI mfalme.Hawa ndo vireherehe
Ni mara nyingi huyu waziri anaambiwa ana Kiburi naona ni kweli
Shida ni kwamba hakuna strategies za kuruhusu huo uchumi, huwezi kumruhusu tu kijana wako aliyemaliza darasa la saba aingie mtaani bila kumuandalia mazingira flani ya kumsaidia IKIWA KWELI unania njema nae!Dear Mgibeon nchi yetu iliendeshwa na uchumi hewa. Acha sasa uchumi wa sekta binafsi ujiendeshe wenyewe, ukue wenyewe.
Wabunge wameongea ukweli kuhusu hali ya nchi na uchumi kwa ujumla.
Sekta binafsi haijapuunzwa. Kazi ya serikali ni kutengeneza mazingira wezeshi. Ktk awamu za serikali zilizopita serikali iliibeba sekta binafsi. Wewe hukumbuki kwa mfano hela za serikali banki binafsi ilikuwa asilimia ngapi? Na mabenki hawakuwa wabunifu. Nenda hata DSE, unakuta watu waliiba hela na kwenda kuzificha huko, yaani kwa ufupi tulikuwa na economic uchumi wa puto. Sisi kama watalaamu tunataka kila sekta ijiendeshe yenyewe na siyo kutegemea hela za dili toka serikalini ili ujiendeshe. Na ndiyo maana hao waliohongwa hela kuwasemea hao wapiga dili wajue wanajisumbua kwa sababu serikali inajua kila kitu na ndiyo maana haitatetelekaShida ni kwamba hakuna strategies za kuruhusu huo uchumi, huwezi kumruhusu tu kijana wako aliyemaliza darasa la saba aingie mtaani bila kumuandalia mazingira flani ya kumsaidia IKIWA KWELI unania njema nae!
Kuzipuuza sector binafsi ni kuupuuza kundi kubwa linaloishi kwa kutegemea PP.
Uzalendo kwao ni kuunga mkono kila kitu??Ngoja wale vijana waje...watasema hao wabunge si wazalendo ni mafisadi.......