pharao
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 405
- 746
Mimi binafsi sioni haja yoyote ya kukomaa na kiswahili kwa nchi masikini kama hii. Kuna mambo ambayo yanatupotezea muda na kuongeza chance za umasikini wetu. So ni kheri tuwe kama Kenya. Ukweli ni kuwa wanaoponda kingereza hata hawakijui.Tumeshamalizana we nenda tu Kalale maadam huna hoja zenye mashiko.
Eti umeshauriwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Karibu kambi ya fisi siku moja.