Tuwapeleke watoto wakasome kiingereza

Tuwapeleke watoto wakasome kiingereza

Hata hapo unapobisha shurti ubofye "Reply" na "Post Reply".

Unakibishia Kiingereza umuhimu wake, wakati huohuo, ili point zako za kubishia umuhimu wa Kiingereza zitufikie, inabidi ukitumie Kiingereza!

Hapo ndipo utajua Kiingereza ni muhimu au si muhimu.
Yaani Twende mbele.

Kiingereza kina umuhimu mkubwa sana tofauti vile watu wanavyoleta ushabiki.

Basics ya kiingereza kwa majirani wenzetu kenya uganda kimewafanya wafike mbali sana.

Hata ukiangalia kuanzia kwenda abroad, kwenye sector ya utalii, kwenye nyanja za ajira wana move sana
 
Yaani Twende mbele.

Kiingereza kina umuhimu mkubwa sana tofauti vile watu wanavyoleta ushabiki.

Basics ya kiingereza kwa majirani wenzetu kenya uganda kimewafanya wafike mbali sana.

Hata ukiangalia kuanzia kwenda abroad, kwenye sector ya utalii, kwenye nyanja za ajira wana move sana
Kutojua Kiingereza kumeongeza ujinga sana Tanzania.

Kwa sababu, utakuta kuna mambo mengi yameandikwa katika Kiingereza, sisi hatuyaelewi ni kama tumefungiwa katika kisiwa ambacho hakina hata redio, tunasikilizana wenyewe kwa wenyewe tu.

Mfano mimi mpaka leo sijawahi kuona kitabu cha Quantum Physics for the masses cha Kiswahili.

Hapo maana yake mtu anaweza kuwa na uwezo katika haya mambo, lakini akaangushwa na Kiingereza tu.
 
Serikali ipi mkuu ya kuleta syllabus ya kiingereza wakati sekondari yenyewe wanataka physics ifundishwe kwa kiswahili.

Wanadai kiswahili ni lugha ya saba duniani.
Labda kuzimu 😂😂😂
 
Ukiwa mtu wa kujichanganya viwanja vya kimataifa tafuta mkalimani kabisa.
Ndio maana zinapigwa sana hela $ kwa kazi za ukalimani hapa chuga maana huwa ni Spanish to swahili, Germany to Swahili Italian to Swahili, na si English to Swahili maana waingerexa hawajagi kwa wingi kutalii tz so lugha yao sio muhimu kwa soko la utalii tz

Nikupe hii siri watalii wa hayo mataifa niliyoyataja hawapendi uwaongeleshe kiingereza bali hupenda kutumia lugha zao tu. Vipi na wao utawaweka ktk kundi la wazwazwa?
 
Kutojua Kiingereza kumeongeza ujinga sana Tanzania.

Kwa sababu, utakuta kuna mambo mengi yameandikwa katika Kiingereza, sisi hatuyaelewi ni kama tumefungiwa katika kisiwa ambacho hakina hata redio, tunasikilizana wenyewe kwa wenyewe tu.

Mfano mimi mpaka leo sijawahi kuona kitabu cha Quantum Physics for the masses cha Kiswahili.

Hapo maana yake mtu anaweza kuwa na uwezo katika haya mambo, lakini akaangushwa na Kiingereza tu.
Ujinga umeongezeka kwa watanzania wengi kwa sababu ya kutojua lugha ya kiingereza na wanaona wako sawa.

Wanashindwa kujifunza kidogo hata kwa vijana wetu wanamziki wakina diamond,harmonize walijiona wanakosa fursa nyingi kwa sababu ya lugha mwisho wametafuta vienglish medium wajifunze lugha na waielewe na wanaongea vizuri sana.

Lakini leo hii kijana anatafuta fursa ila anashindwa kujifunza kiingereza anakuja kupishana na fursa nyingi kwa sababu ya lugha tu.

Kusoma instructions ya dawa tu kiingereza.

Mabango yote barabaranj hapa nchini yameandikwa kwa lugha ya kiingereza
 
Hata hapo unapobisha shurti ubofye "Reply" na "Post Reply".

Unakibishia Kiingereza umuhimu wake, wakati huohuo, ili point zako za kubishia umuhimu wa Kiingereza zitufikie, inabidi ukitumie Kiingereza!

Hapo ndipo utajua Kiingereza ni muhimu au si muhimu.
Bro Kiranga kwa vyeo vyako vya maarifa kubishana na huyo mtu si sawa. Mtu anaesema kiswahili kina maana kwenye karne hii anatakiwa akapimwe ubongo. English Ni Lugha ambayo mtu kuifahamu imekuwa ni Amri Sio Ombi. Na kama hutataka kujua English, basi hutajua mambo mengi muhimu ya karne hii. Sipendi kupepesa macho tena kuhusu haya mambo. Muda ambao tunautumia kujifunza swahili tungeutumia kujifunza Kingereza tungekuwa mbali sana.
 
Ndio maana unapiga sana hela kwa kazi za ukalimani hapa chuga maana huwa ni Spanish to swahili, Germany to Swahili Italian to Swahili, na si English to Swahili maana waingerexa hawajagi kwa wingi kutalii tz so lugha yao sio muhimu kwa soko la utalii tz

Nikupe hii siri watalii wa hayo mataifa niliyoyataja hawapendi uwaongeleshe kiingereza bali hupenda kutumia lugha zao tu. Vipi na wao utawaweka ktk kundi la wazwazwa?
Mkuu,

Kwa msingi huo hata Kibarbaig kinaweza kuwa lugha muhimu kama unakwend akurina asali kwa Wa Barbaig.

Hapa tunaongelea lugha iliyo dominant katika uchumi wa dunia.

Hao Wajerumani, WahiSpania wote wanajifunza Kiingereza tunakutana nao Wall Street kwenye kupiga hela za dunia nzima.
 
Ndio maana unapiga sana hela kwa kazi za ukalimani hapa chuga maana huwa ni Spanish to swahili, Germany to Swahili Italian to Swahili, na si English to Swahili maana waingerexa hawajagi kwa wingi kutalii tz so lugha yao sio muhimu kwa soko la utalii tz

Nikupe hii siri watalii wa hayo mataifa niliyoyataja hawapendi uwaongeleshe kiingereza bali hupenda kutumia lugha zao tu. Vipi na wao utawaweka ktk kundi la wazwazwa?
Mkuu..

Utawezaje kupenda kujifunza kitu unachokijua tayari.

Kujua lugha ya kiingereza sio kwenye fursa ya utalii.

Lugha ya kiingereza kwa maisja ya sasa ni kama kuipata almasi jangwani kwa nchi yetu hii lugha ina umuhimu mkubwa sana sana.

Ntakuja kukuorodheshea umuhimu wake
 
Bro Kiranga kwa vyeo vyako vya maarifa kubishana na huyo mtu si sawa. Mtu anaesema kiswahili kina maana kwenye karne hii anatakiwa akapimwe ubongo. English Ni Lugha ambayo mtu kuifahamu imekuwa ni Amri Sio Ombi. Na kama hutataka kujua English, basi hutajua mambo mengi muhimu ya karne hii. Sipendi kupepesa macho tena kuhusu haya mambo. Muda ambao tunautumia kujifunza swahili tungeutumia kujifunza Kingereza tungekuwa mbali sana.
Mkuu hata mimi nmeona kuna baadhi ya watu hawajafikisha viwango vya kujibizana nao.
 
Ujinga umeongezeka kwa watanzania wengi kwa sababu ya kutojua lugha ya kiingereza na wanaona wako sawa.

Wanashindwa kujifunza kidogo hata kwa vijana wetu wanamziki wakina diamond,harmonize walijiona wanakosa fursa nyingi kwa sababu ya lugha mwisho wametafuta vienglish medium wajifunze lugha na waielewe na wanaongea vizuri sana.

Lakini leo hii kijana anatafuta fursa ila anashindwa kujifunza kiingereza anakuja kupishana na fursa nyingi kwa sababu ya lugha tu.

Kusoma instructions ya dawa tu kiingereza.

Mabango yote barabaranj hapa nchini yameandikwa kwa lugha ya kiingereza
kiswahili kinatukosesha fursa nyingi sana. Yaani hii bongo kila mtu angekuwa anapiga yai, ingekuwa soo!
 
Yaani Twende mbele.

Kiingereza kina umuhimu mkubwa sana tofauti vile watu wanavyoleta ushabiki.

Basics ya kiingereza kwa majirani wenzetu kenya uganda kimewafanya wafike mbali sana.

Hata ukiangalia kuanzia kwenda abroad, kwenye sector ya utalii, kwenye nyanja za ajira wana move sana
Tuko nyuma sanaa ila nakuambia mmbongo angejua ile kiingereza safi imenyooka hakuna mbuzi anatuambia kitu east africa hii labda nigeria.

Ushapu wa asili,kufanya mambo kwa weledi,ujuzi na maarifa tuko mbele maili mia n lugha tuuu.
 
Kubofya si kuongea, hilo neno reply linaweza kupelekwa ktk lugha yoyote ile kwa mtumiaji husika kubadili lugha ktk device yake. Hoja yako haina mashiko
Mkuu nimeshauriwa kuacha kujibizana nawe na mtu anayeoona hoja zako ziko chini ya viwango.

We have fundamental and irreconcilable philosophical differences that render this exchange meaningless.

It is important to respect that.
 
Bro Kiranga kwa vyeo vyako vya maarifa kubishana na huyo mtu si sawa. Mtu anaesema kiswahili kina maana kwenye karne hii anatakiwa akapimwe ubongo. English Ni Lugha ambayo mtu kuifahamu imekuwa ni Amri Sio Ombi. Na kama hutataka kujua English, basi hutajua mambo mengi muhimu ya karne hii. Sipendi kupepesa macho tena kuhusu haya mambo. Muda ambao tunautumia kujifunza swahili tungeutumia kujifunza Kingereza tungekuwa mbali sana.
Umeitimisha vizuri sana.

Lugha ya kiswahili tunayojivunia nayo kwa karne hii hakuna mahali itakapotupeleka wala nchi ya Tanzania inayosifika kwa kuongea kiswahili kizuri sidhani kama ina mikakati nacho.

Lugha ya kiingereza kwa dunia ya sasa ni maisha
 
Mkuu nimeshauriwa kuacha kujibizana nawe na mtu anayeoona hoja zako ziko chini ya viwango.
Tumeshamalizana we nenda tu Kalale maadam huna hoja zenye mashiko.

Eti umeshauriwa 😂😂😂😂

Karibu kambi ya fisi siku moja.
 
English Ni Lugha ambayo mtu kuifahamu imekuwa ni Amri Sio Ombi.
Mnashauriana vibaya sana, American nigga wewe ni mniga au ni Chakubanga uliyejibadilishia jina?

Wewe na mkuu wako kiranga sitawaelewa mkiukimbia huu uzi baada ya kuishiwa hoja.

Wekeni kambi hapa
 
Back
Top Bottom