Tuwakatae Wahuni Wote

Tuwakatae Wahuni Wote

Kuna njia nyingi salama za kudai haki lakini huwezi kufanya siasa za hatari etu uonekane jasiri huo ni ujinga,ndio maana wanaharakati wahuni wamekimbia nchini kwa kuhofia uhai wao,je wao sio waoga?

Think big
Mkuu kila mtu na roho yake,wewe kaa utulie watu wakupambanie,wewe unae ogopa kupoteza maisha yako inatosha,ukombozi siyo sehemu yako,kaa utulie,dhuruma hizi zinazo endelea kwa mwenye utimamu wa akiri hawezi huhubiri amani kipuuzi puuzi tu

Watu wanateseke wakipaza sauti kidogo wanaitwa wahaini.utawala dharimu lazima watu wauseme.ukikaa kimya wewe inatosha.Acha kuhubiri amani usiyo ijua.

Hata makaburi ya walio ogopa kupigania haki zao eti kisa watakufa tushayaona.
 
Wahuni wanawaambia wanaochochea nchi wako nje huku wao na watoto wao tunaowafahamu ndio wana uraia wa nchi za nje.

Wahuni walikataza malipo katika mfumo wa USD , ilhali wao apartment zao pale Masaki wanapokea kwa mfumo wa USD.

Wahuni wanatumia vyombo vya dola kupeperusha chopa za kijeshi siku nzima kutisha raia ambao hawana maji majumbani katika jiji kubwa wiki hadi mwezi mzima.

Wahuni wanawaambia muwe wazalendo na mlinde amani , kumbe amani wanayomaanisha ni upofu wa kifikra kutokuhoji kumbe wao wananunua villas pale UAE.

Wahuni wamenunua villas UAE ambapo ni jangwani ila hakuna shida ya maji licha ya bahari kuwa chanzo kikuu cha maji ila hapo wamewaacha solemba na kusema kukosekana kwa maji hapo Dar es Salaam chanzo ni ukosefu wa mvua huku Dar es Salaam ikiwa na bahari, mito na chemchem kadhaa.
20251212_081553.jpg


UAE ni jangwani mvua inaweza kunyesha mara 1 au 2 tu kwa mwaka ila hakuna kero ya maji ila wao wanawaaminisha mtunze amani huku wao waendelee kutafuna keki ya nchi
 
Wewe kama muoga kaa kimya usipandikize mentality ya woga kwa wengine
Watanzania wote tukiungana kutetea haki hawa wahuni watashindwa wamteke nani
 
Shida huioni unatujazia pumba humu..!!
Kuna ulazima wa kusoma threads zangu?? Kwanini usipite kushoto tu? Au just ignore me,and you won't see me again.

Huwa najaribu kuwa mstaarabu sana,kauli ya awali uliyosema sio nzuri kabisa,ni vile tu mimi ni mtu ambaye sitake things personally

Hunijui sikujui kwanini unanirushia maneno machafu?

Hapana jaribu kuwa mstaarabu basi hata kama kuna jambo huafikiani nalo basi either walk away au eleza hisia zako katika namna ya utu na ubinadamu

Sio kwangu tu hata kwa member mwengine yoyote yule, hivyo ndivyo watu wastaarabu hufanya

Asante kwa kuelewa.
 
Ni sahihi kabisa umeanza zamani na sasa unashamiri

Kwa mazingira haya je mwananchi afanyeje?

My upinion since wanaotekwa ni wale tu ambao wanaikosoa serikali basi ili uwe salama kaa mbali na harakati zitakazo kuletea madhara,iko hivyo

Kinyume na hapo umejiweka rehani wewe mwenyewe na hakuna wa kumlaumu

Maoni yangu yanaweza yasikubaliwe na wengi and which is fine lakini ndio njia salama kwa sasa
jenista kamkosoa nani
 
Mkuu kila mtu na roho yake,wewe kaa utulie watu wakupambanie,wewe unae ogopa kupoteza maisha yako inatosha,ukombozi siyo sehemu yako,kaa utulie,dhuruma hizi zinazo endelea kwa mwenye utimamu wa akiri hawezi huhubiri amani kipuuzi puuzi tu

Watu wanateseke wakipaza sauti kidogo wanaitwa wahaini.utawala dharimu lazima watu wauseme.ukikaa kimya wewe inatosha.Acha kuhubiri amani usiyo ijua.

Hata makaburi ya walio ogopa kupigania haki zao eti kisa watakufa tushayaona.
Sasa kwanini huwa hamuend front wenyewe?

Mnatumia advantage ya vijana wasio jitambua kwa kufuata mkumbo tu wa wanaharakati uchwara

Unafikir mtu mzima kama mimi unaweza kunishawishi kwa mambo kama hayo? Kwanza natafakar faida na hasara zake kisha nafanya maamuzi

Lakini hawa watoto wa watu maskini mnawapeleka Peleka tu

Hatukubali huo ujinga,tutaplay our part,nyie hubirini mapambano na sie tuhubiri amani na kuwasanua wasio jitambua ubaya wa hicho wanachokifanya

Mwisho wa siku tuwaache wenyewe wafanye maamuzi

Asante
 
Ni sahihi kabisa umeanza zamani na sasa unashamiri

Kwa mazingira haya je mwananchi afanyeje?

My upinion since wanaotekwa ni wale tu ambao wanaikosoa serikali basi ili uwe salama kaa mbali na harakati zitakazo kuletea madhara,iko hivyo

Kinyume na hapo umejiweka rehani wewe mwenyewe na hakuna wa kumlaumu

Maoni yangu yanaweza yasikubaliwe na wengi and which is fine lakini ndio njia salama kwa sasa
Dah! Nakosa hata cha kusema. Anyway wewe jamaa ni mpumbavu kupita upumbavu wenyewe. Kwa hiyo unahalalisha kabisa utekaji. Wewe ni mpumbavu, mjinga huna akili kabisa. Fvck you!
 
Dah! Nakosa hata cha kusema. Anyway wewe jamaa ni mpumbavu kupita upumbavu wenyewe. Kwa hiyo unahalalisha kabisa utekaji. Wewe ni mpumbavu, mjinga huna akili kabisa. Fvck you!
Ujinga ni kuukataa ukweli, unajua kabisa ukiongea vibaya kuhusu serikali unatekwa,why ufanye kosa hilo hilo?

Nani mpumbavu sasa?

Huu mchezo hauhitaji hasira hata kidogo
 
Dah! Nakosa hata cha kusema. Anyway wewe jamaa ni mpumbavu kupita upumbavu wenyewe. Kwa hiyo unahalalisha kabisa utekaji. Wewe ni mpumbavu, mjinga huna akili kabisa. Fvck you!
Ujinga ni kuukataa ukweli, unajua kabisa ukiongea vibaya kuhusu serikali unatekwa,why ufanye kosa hilo hilo?

Nani mpumbavu sasa?

Huu mchezo hauhitaji hasira hata ki
jenista kamkosoa nani
Unamaanisha nini hapa,ebu nyosha maelezo
 
Ujinga ni kuukataa ukweli, unajua kabisa ukiongea vibaya kuhusu serikali unatekwa,why ufanye kosa hilo hilo?

Nani mpumbavu sasa?

Huu mchezo hauhitaji hasira hata kidogo
Sasa kwa nini usiiambie serikali iache kuteka badala ya kuwaambia wanaotekwa waache kuikosoa serikali?
 
Ujinga ni kuukataa ukweli, unajua kabisa ukiongea vibaya kuhusu serikali unatekwa,why ufanye kosa hilo hilo?

Nani mpumbavu sasa?

Huu mchezo hauhitaji hasira hata ki

Unamaanisha nini hapa,ebu nyosha maelezo
Kwa hiyo tuache kuikosoa serikali hata kama inakosea?
 
View attachment 3514553

My people,​

Kwa kila mwanaharakati ambaye anaikosoa Serikali hakika anajua matokeo au madhara ambayo atakutana nayo leo au kesho

Ndio maana comrade Pole pole alijua na alikuwa tayar kulipia gharama hiyo ,kuonyesha kwamba alikuwa tayari kwa lolote litakalo mkuta akaamua kubakia hapa hapa hali akijua usalama wake hauko asilimia Mia moja,na kweli kilichotokea wote tunakijua

Nini nataka kusema hapa, mwanaharakati yoyote yule awe ndani ya nchi au nje ya nchi basi vita yake na Serikali isimfanye mwananchi wa kawaida akashindwa kuendesha maisha yake ya kila siku,akashindwa kujifanyia shughuli zake za kiuchumi ambazo zinamfanya apate mkate wake wa kila siku na familia yake

Wanaharakati wengi tena hawa waliopata hifadhi nchi jirani au kwengine kokote kule,wao wanafadhiliwa na maisha yao yanaendelea kama kawaida,lakini wanataka sisi tuache shughuli zetu za kutuingizia kipato na kucheza nyimbo zao kuikomboa nchi kwa njia ambayo sio salama na kuyaweka maisha yetu rehani.

Wanatanzania hakuna shujaa kwenye kuhatarisha maisha yako,kudhibitisha hili ndio maana wao wapo huko nyuma ya keyboard kazi yao ni kutuhamasisha kuhatarisha amani ya nchi yetu pendwa Tanzania

Wao wanathamini uhai wao ndio maana wamekimbia nchi hii kulinda uhai wao,lakini wanataka sisi kuweka uhai wetu mashakani,hapana inatosha sasa,tuseme hapana kwa hawa Wanaharakati,kama kweli wana mapenzi na sisi waje hapa Tanzania na wawe front line tuandamane pamoja,tupigwe virungu pamoja,tupigwe risasi pamoja na tuwekwe selo pamoja

Gen Z you have got a lot of life a head of you,una ndoto nyingi za kutimiza lakini usikubali kuwaste your life In the name of kuikomboa Tanganyika, hatuna nchi inaitwa Tanganyika bali tuna nchi inaitwa Tanzania,kwahiyo usipiganie kitu ambacho hakipo now, bali pigania Amani ya Tanzania ambayo ndio urithi wetu

Amani ndio tunu au zawadi muhimu ambayo kila mtanzania anatakiwa kuilinda kwa wivu mkubwa sana,yoyote ambaye kwa namna moja au nyingine anataka kuhatarisha Amani yetu huyo ni adui yetu mkubwa ama awe kiongozi wa Serikali,Dini au kikundi chochote cha watu,tuseme hapana kwa watu hawa,hawana nia nzuri na Taifa letu

Ungana na Team Amani kupambana bila kuchoka na waovu na wahuni wote ambao hawana nia njema na TANZANIA YETU

Tutaelewana tu mdogo mdogo

Ni hayo tu!!
Tumeongea sana suala hili la kuthamini nchi yetu ambayo bado maskini na tuache uhuni wa kuiga lkn baadhi ya watu bado vichwa vigumu.
Sasa iliobaki ni kuwakumbusha tu kuwa yyt anaepanga na kuiharibu nchi hii kwa kisingizio cha kutaka mabadiliko ajue Dola itamtia adabu na akiendeleza kiburi atakula chuma tu.
Kiburi mwisho wake ni kaburini tu.
 
Sasa kwa nini usiiambie serikali iache kuteka badala ya kuwaambia wanaotekwa waache kuikosoa serikali?
Ni mara ngapi watu wamelizungumzia hili swala?

Je tumepata majibu yoyote?

Sasa kama umeona upande wa pili haufanyi chicchote juu ya changamoto yenu,je suluhisho ni kuendelea kuongea zaidi na kutekwa zaidi?

Je faculty yako uliyopewa na Mungu ya kutafakari na kufanya maamuzi sahihi faida gani na wewe?

Mfano wake ni kama vile unajua njia hii kuna majambazi halafu ulivyo mpuuzi nawe unapita palepale,halafu wakikuvamia unalalamika,je upo sawa kweli?
 
Sasa kwanini huwa hamuend front wenyewe?

Mnatumia advantage ya vijana wasio jitambua kwa kufuata mkumbo tu wa wanaharakati uchwara

Unafikir mtu mzima kama mimi unaweza kunishawishi kwa mambo kama hayo? Kwanza natafakar faida na hasara zake kisha nafanya maamuzi

Lakini hawa watoto wa watu maskini mnawapeleka Peleka tu

Hatukubali huo ujinga,tutaplay our part,nyie hubirini mapambano na sie tuhubiri amani na kuwasanua wasio jitambua ubaya wa hicho wanachokifanya

Mwisho wa siku tuwaache wenyewe wafanye maamuzi

Asante
Jukwaa la babako hili mpk uandike pumba tukunyamazie?
Watu wamepoteza wapendwa wao wewe unaleta uchawa hapa..!!

Em kapikie mumeo futali tutolee upuuzi..!!
 
View attachment 3514553

My people,​

Kwa kila mwanaharakati ambaye anaikosoa Serikali hakika anajua matokeo au madhara ambayo atakutana nayo leo au kesho

Ndio maana comrade Pole pole alijua na alikuwa tayar kulipia gharama hiyo ,kuonyesha kwamba alikuwa tayari kwa lolote litakalo mkuta akaamua kubakia hapa hapa hali akijua usalama wake hauko asilimia Mia moja,na kweli kilichotokea wote tunakijua

Nini nataka kusema hapa, mwanaharakati yoyote yule awe ndani ya nchi au nje ya nchi basi vita yake na Serikali isimfanye mwananchi wa kawaida akashindwa kuendesha maisha yake ya kila siku,akashindwa kujifanyia shughuli zake za kiuchumi ambazo zinamfanya apate mkate wake wa kila siku na familia yake

Wanaharakati wengi tena hawa waliopata hifadhi nchi jirani au kwengine kokote kule,wao wanafadhiliwa na maisha yao yanaendelea kama kawaida,lakini wanataka sisi tuache shughuli zetu za kutuingizia kipato na kucheza nyimbo zao kuikomboa nchi kwa njia ambayo sio salama na kuyaweka maisha yetu rehani.

Wanatanzania hakuna shujaa kwenye kuhatarisha maisha yako,kudhibitisha hili ndio maana wao wapo huko nyuma ya keyboard kazi yao ni kutuhamasisha kuhatarisha amani ya nchi yetu pendwa Tanzania

Wao wanathamini uhai wao ndio maana wamekimbia nchi hii kulinda uhai wao,lakini wanataka sisi kuweka uhai wetu mashakani,hapana inatosha sasa,tuseme hapana kwa hawa Wanaharakati,kama kweli wana mapenzi na sisi waje hapa Tanzania na wawe front line tuandamane pamoja,tupigwe virungu pamoja,tupigwe risasi pamoja na tuwekwe selo pamoja

Gen Z you have got a lot of life a head of you,una ndoto nyingi za kutimiza lakini usikubali kuwaste your life In the name of kuikomboa Tanganyika, hatuna nchi inaitwa Tanganyika bali tuna nchi inaitwa Tanzania,kwahiyo usipiganie kitu ambacho hakipo now, bali pigania Amani ya Tanzania ambayo ndio urithi wetu

Amani ndio tunu au zawadi muhimu ambayo kila mtanzania anatakiwa kuilinda kwa wivu mkubwa sana,yoyote ambaye kwa namna moja au nyingine anataka kuhatarisha Amani yetu huyo ni adui yetu mkubwa ama awe kiongozi wa Serikali,Dini au kikundi chochote cha watu,tuseme hapana kwa watu hawa,hawana nia nzuri na Taifa letu

Ungana na Team Amani kupambana bila kuchoka na waovu na wahuni wote ambao hawana nia njema na TANZANIA YETU

Tutaelewana tu mdogo mdogo

Ni hayo tu!!
Uzuri Pole Pole kabla hajatekwa alishawataja wahuni wote
 
Back
Top Bottom