Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,212
- 86,849
Shida huioni unatujazia pumba humu..!!Ni kweli nampenda sana,je kuna shida?
Shida huioni unatujazia pumba humu..!!Ni kweli nampenda sana,je kuna shida?
Mkuu kila mtu na roho yake,wewe kaa utulie watu wakupambanie,wewe unae ogopa kupoteza maisha yako inatosha,ukombozi siyo sehemu yako,kaa utulie,dhuruma hizi zinazo endelea kwa mwenye utimamu wa akiri hawezi huhubiri amani kipuuzi puuzi tuKuna njia nyingi salama za kudai haki lakini huwezi kufanya siasa za hatari etu uonekane jasiri huo ni ujinga,ndio maana wanaharakati wahuni wamekimbia nchini kwa kuhofia uhai wao,je wao sio waoga?
Think big
Kuna ulazima wa kusoma threads zangu?? Kwanini usipite kushoto tu? Au just ignore me,and you won't see me again.Shida huioni unatujazia pumba humu..!!
jenista kamkosoa naniNi sahihi kabisa umeanza zamani na sasa unashamiri
Kwa mazingira haya je mwananchi afanyeje?
My upinion since wanaotekwa ni wale tu ambao wanaikosoa serikali basi ili uwe salama kaa mbali na harakati zitakazo kuletea madhara,iko hivyo
Kinyume na hapo umejiweka rehani wewe mwenyewe na hakuna wa kumlaumu
Maoni yangu yanaweza yasikubaliwe na wengi and which is fine lakini ndio njia salama kwa sasa
Sasa kwanini huwa hamuend front wenyewe?Mkuu kila mtu na roho yake,wewe kaa utulie watu wakupambanie,wewe unae ogopa kupoteza maisha yako inatosha,ukombozi siyo sehemu yako,kaa utulie,dhuruma hizi zinazo endelea kwa mwenye utimamu wa akiri hawezi huhubiri amani kipuuzi puuzi tu
Watu wanateseke wakipaza sauti kidogo wanaitwa wahaini.utawala dharimu lazima watu wauseme.ukikaa kimya wewe inatosha.Acha kuhubiri amani usiyo ijua.
Hata makaburi ya walio ogopa kupigania haki zao eti kisa watakufa tushayaona.
Dah! Nakosa hata cha kusema. Anyway wewe jamaa ni mpumbavu kupita upumbavu wenyewe. Kwa hiyo unahalalisha kabisa utekaji. Wewe ni mpumbavu, mjinga huna akili kabisa. Fvck you!Ni sahihi kabisa umeanza zamani na sasa unashamiri
Kwa mazingira haya je mwananchi afanyeje?
My upinion since wanaotekwa ni wale tu ambao wanaikosoa serikali basi ili uwe salama kaa mbali na harakati zitakazo kuletea madhara,iko hivyo
Kinyume na hapo umejiweka rehani wewe mwenyewe na hakuna wa kumlaumu
Maoni yangu yanaweza yasikubaliwe na wengi and which is fine lakini ndio njia salama kwa sasa
Ujinga ni kuukataa ukweli, unajua kabisa ukiongea vibaya kuhusu serikali unatekwa,why ufanye kosa hilo hilo?Dah! Nakosa hata cha kusema. Anyway wewe jamaa ni mpumbavu kupita upumbavu wenyewe. Kwa hiyo unahalalisha kabisa utekaji. Wewe ni mpumbavu, mjinga huna akili kabisa. Fvck you!
Ujinga ni kuukataa ukweli, unajua kabisa ukiongea vibaya kuhusu serikali unatekwa,why ufanye kosa hilo hilo?Dah! Nakosa hata cha kusema. Anyway wewe jamaa ni mpumbavu kupita upumbavu wenyewe. Kwa hiyo unahalalisha kabisa utekaji. Wewe ni mpumbavu, mjinga huna akili kabisa. Fvck you!
Unamaanisha nini hapa,ebu nyosha maelezojenista kamkosoa nani
Sasa kwa nini usiiambie serikali iache kuteka badala ya kuwaambia wanaotekwa waache kuikosoa serikali?Ujinga ni kuukataa ukweli, unajua kabisa ukiongea vibaya kuhusu serikali unatekwa,why ufanye kosa hilo hilo?
Nani mpumbavu sasa?
Huu mchezo hauhitaji hasira hata kidogo
Kwa hiyo tuache kuikosoa serikali hata kama inakosea?Ujinga ni kuukataa ukweli, unajua kabisa ukiongea vibaya kuhusu serikali unatekwa,why ufanye kosa hilo hilo?
Nani mpumbavu sasa?
Huu mchezo hauhitaji hasira hata ki
Unamaanisha nini hapa,ebu nyosha maelezo
Mumewe nani tena? Kumbe huyu zwazwa ni k?Toka uachike na mumeo wa kimasai hujamove on unahisi watanzania wote tuna trauma km wewe..!!
Tumeongea sana suala hili la kuthamini nchi yetu ambayo bado maskini na tuache uhuni wa kuiga lkn baadhi ya watu bado vichwa vigumu.View attachment 3514553
My people,
Kwa kila mwanaharakati ambaye anaikosoa Serikali hakika anajua matokeo au madhara ambayo atakutana nayo leo au kesho
Ndio maana comrade Pole pole alijua na alikuwa tayar kulipia gharama hiyo ,kuonyesha kwamba alikuwa tayari kwa lolote litakalo mkuta akaamua kubakia hapa hapa hali akijua usalama wake hauko asilimia Mia moja,na kweli kilichotokea wote tunakijua
Nini nataka kusema hapa, mwanaharakati yoyote yule awe ndani ya nchi au nje ya nchi basi vita yake na Serikali isimfanye mwananchi wa kawaida akashindwa kuendesha maisha yake ya kila siku,akashindwa kujifanyia shughuli zake za kiuchumi ambazo zinamfanya apate mkate wake wa kila siku na familia yake
Wanaharakati wengi tena hawa waliopata hifadhi nchi jirani au kwengine kokote kule,wao wanafadhiliwa na maisha yao yanaendelea kama kawaida,lakini wanataka sisi tuache shughuli zetu za kutuingizia kipato na kucheza nyimbo zao kuikomboa nchi kwa njia ambayo sio salama na kuyaweka maisha yetu rehani.
Wanatanzania hakuna shujaa kwenye kuhatarisha maisha yako,kudhibitisha hili ndio maana wao wapo huko nyuma ya keyboard kazi yao ni kutuhamasisha kuhatarisha amani ya nchi yetu pendwa Tanzania
Wao wanathamini uhai wao ndio maana wamekimbia nchi hii kulinda uhai wao,lakini wanataka sisi kuweka uhai wetu mashakani,hapana inatosha sasa,tuseme hapana kwa hawa Wanaharakati,kama kweli wana mapenzi na sisi waje hapa Tanzania na wawe front line tuandamane pamoja,tupigwe virungu pamoja,tupigwe risasi pamoja na tuwekwe selo pamoja
Gen Z you have got a lot of life a head of you,una ndoto nyingi za kutimiza lakini usikubali kuwaste your life In the name of kuikomboa Tanganyika, hatuna nchi inaitwa Tanganyika bali tuna nchi inaitwa Tanzania,kwahiyo usipiganie kitu ambacho hakipo now, bali pigania Amani ya Tanzania ambayo ndio urithi wetu
Amani ndio tunu au zawadi muhimu ambayo kila mtanzania anatakiwa kuilinda kwa wivu mkubwa sana,yoyote ambaye kwa namna moja au nyingine anataka kuhatarisha Amani yetu huyo ni adui yetu mkubwa ama awe kiongozi wa Serikali,Dini au kikundi chochote cha watu,tuseme hapana kwa watu hawa,hawana nia nzuri na Taifa letu
Ungana na Team Amani kupambana bila kuchoka na waovu na wahuni wote ambao hawana nia njema na TANZANIA YETU
Tutaelewana tu mdogo mdogo
Ni hayo tu!!
Ni mara ngapi watu wamelizungumzia hili swala?Sasa kwa nini usiiambie serikali iache kuteka badala ya kuwaambia wanaotekwa waache kuikosoa serikali?
Jukwaa la babako hili mpk uandike pumba tukunyamazie?Sasa kwanini huwa hamuend front wenyewe?
Mnatumia advantage ya vijana wasio jitambua kwa kufuata mkumbo tu wa wanaharakati uchwara
Unafikir mtu mzima kama mimi unaweza kunishawishi kwa mambo kama hayo? Kwanza natafakar faida na hasara zake kisha nafanya maamuzi
Lakini hawa watoto wa watu maskini mnawapeleka Peleka tu
Hatukubali huo ujinga,tutaplay our part,nyie hubirini mapambano na sie tuhubiri amani na kuwasanua wasio jitambua ubaya wa hicho wanachokifanya
Mwisho wa siku tuwaache wenyewe wafanye maamuzi
Asante
Bonge la dada 😹😹Mumewe nani tena? Kumbe huyu zwazwa ni k?
Uzuri Pole Pole kabla hajatekwa alishawataja wahuni woteView attachment 3514553
My people,
Kwa kila mwanaharakati ambaye anaikosoa Serikali hakika anajua matokeo au madhara ambayo atakutana nayo leo au kesho
Ndio maana comrade Pole pole alijua na alikuwa tayar kulipia gharama hiyo ,kuonyesha kwamba alikuwa tayari kwa lolote litakalo mkuta akaamua kubakia hapa hapa hali akijua usalama wake hauko asilimia Mia moja,na kweli kilichotokea wote tunakijua
Nini nataka kusema hapa, mwanaharakati yoyote yule awe ndani ya nchi au nje ya nchi basi vita yake na Serikali isimfanye mwananchi wa kawaida akashindwa kuendesha maisha yake ya kila siku,akashindwa kujifanyia shughuli zake za kiuchumi ambazo zinamfanya apate mkate wake wa kila siku na familia yake
Wanaharakati wengi tena hawa waliopata hifadhi nchi jirani au kwengine kokote kule,wao wanafadhiliwa na maisha yao yanaendelea kama kawaida,lakini wanataka sisi tuache shughuli zetu za kutuingizia kipato na kucheza nyimbo zao kuikomboa nchi kwa njia ambayo sio salama na kuyaweka maisha yetu rehani.
Wanatanzania hakuna shujaa kwenye kuhatarisha maisha yako,kudhibitisha hili ndio maana wao wapo huko nyuma ya keyboard kazi yao ni kutuhamasisha kuhatarisha amani ya nchi yetu pendwa Tanzania
Wao wanathamini uhai wao ndio maana wamekimbia nchi hii kulinda uhai wao,lakini wanataka sisi kuweka uhai wetu mashakani,hapana inatosha sasa,tuseme hapana kwa hawa Wanaharakati,kama kweli wana mapenzi na sisi waje hapa Tanzania na wawe front line tuandamane pamoja,tupigwe virungu pamoja,tupigwe risasi pamoja na tuwekwe selo pamoja
Gen Z you have got a lot of life a head of you,una ndoto nyingi za kutimiza lakini usikubali kuwaste your life In the name of kuikomboa Tanganyika, hatuna nchi inaitwa Tanganyika bali tuna nchi inaitwa Tanzania,kwahiyo usipiganie kitu ambacho hakipo now, bali pigania Amani ya Tanzania ambayo ndio urithi wetu
Amani ndio tunu au zawadi muhimu ambayo kila mtanzania anatakiwa kuilinda kwa wivu mkubwa sana,yoyote ambaye kwa namna moja au nyingine anataka kuhatarisha Amani yetu huyo ni adui yetu mkubwa ama awe kiongozi wa Serikali,Dini au kikundi chochote cha watu,tuseme hapana kwa watu hawa,hawana nia nzuri na Taifa letu
Ungana na Team Amani kupambana bila kuchoka na waovu na wahuni wote ambao hawana nia njema na TANZANIA YETU
Tutaelewana tu mdogo mdogo
Ni hayo tu!!