Equitable
JF-Expert Member
- Dec 24, 2021
- 2,124
- 5,697
Hakika ni miaka mingi mabeberu wa magharibi wametuaminisha kuwa kila kitu kizuri kinatoka kwao.
Tumewasoma sana akina Newton, Einstein kama wanasayansi nguli duniani. Hata wanauchumi bora wametuhabarisha wengi wametoka kwao akina Thomas Malthus et al.
Sasa naomba kuwajua wanasayansi mahili na wachumi bora baada ya kuona kumbe Russia iko vizuri kila nyanja.
Inawezekana sababu ya kutojua lugha ya Usoviet ndio sababu ya kutowajua.
Naomba mwenye kuwajua ashushe nondo nifaidi raha ya hawa jamaa.
Tumewasoma sana akina Newton, Einstein kama wanasayansi nguli duniani. Hata wanauchumi bora wametuhabarisha wengi wametoka kwao akina Thomas Malthus et al.
Sasa naomba kuwajua wanasayansi mahili na wachumi bora baada ya kuona kumbe Russia iko vizuri kila nyanja.
Inawezekana sababu ya kutojua lugha ya Usoviet ndio sababu ya kutowajua.
Naomba mwenye kuwajua ashushe nondo nifaidi raha ya hawa jamaa.


