Tuwajue wanasayansi nguli kutoka Urusi (USSR)

Tuwajue wanasayansi nguli kutoka Urusi (USSR)

Hivi kuna cm made in Russia?
a0ad0cb5a2861c96f33bbf25399e366f.png
 
Nilivoona unataja Alps kuwa Poland nimegundua we nimpiga porojo. Usihangaike kuniletea ushahidi mwingine kaa nao tu. Nature ya huu uzi sio porojo na stori za vibarazani
Kuna makosa ya uandishi....
Ndio sababu nimekwambìa sikulazimishi uamini nilicho andika!
 
Baadhi yao...

  • Ivan Pavlov - Mwanasayansi wa kwanza kufanya utafiti wa kina juu ya tabia za wanyama na binadamu...
  • Dmitri Mendeleev - Alibuni Jedwali la Kipengele ambalo ni muhimu sana katika kemia hadi leo...
  • Lev Landau - Mshindi wa Tuzo ya Nobel katika Fizikia kwa kazi yake katika uwanja wa uchambuzi wa quantum na superfluidity...
  • Andrei Sakharov - Mwanasayansi wa kwanza kutetea uangalizi wa haki za binadamu katika USSR na alishinda Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka 1975...
  • Sergei Korolev - Mhandisi wa anga za juu aliyechangia sana katika mpango wa anga za juu wa USSR, pamoja na kutuma binadamu angani....
 
Nilivoona unataja Alps kuwa Poland nimegundua we nimpiga porojo. Usihangaike kuniletea ushahidi mwingine kaa nao tu. Nature ya huu uzi sio porojo na stori za vibarazani
Huyo hajui hata kudañganya Polañd is not found among 8 Alpine countries i.e Monaco Italy germany Austria liechtenstein france............ hivyo yaweza kuwa Uzi wote ukawa uongo
 
Russia hawakuwa na wagunduzi wa sayansi ila wao walichokuwa wanakifanya ni kutumia iliyokuwa shirika lao la kijasusi la iliyokuwa USSR ikiitwa KGB kuwaibia teknolojia kutoka nchi za magharibi,ni hicho tu ndicho walichokuwa wanakifanya na hata leo na China vilevile.
Nchi za magharibi zinawadidimiza wataalamu wa Russia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom