Tuwajue wanasayansi nguli kutoka Urusi (USSR)

Tuwajue wanasayansi nguli kutoka Urusi (USSR)

Dokuchaev ni FATHER OF SOIL SCIENCE alikuwa professor wa SOIL MINERALOGY AND GEOLOGY wanaosoma soil lazima wasome Geology kwani miamba ni chanzo muhimu cha uumbwaji wa udongo kwani kilichomo ndani ya miamba (mineralogical content) ndicho kilichomo ndani ya udongo
 
Russia hakuna wanasayansi zaidi ya kukopi teknolojia ya Israel na Marekani
Kwa hiyo tunailinganisha urusi na mataifa yoote duniani au ni urusi na marekani? Hapa lazima uipe heshima urusi maana ukilinganisha uwingi wa vumbuzi na wanasayansi kwa kutenga nchi moja moja siyo rahisi kuipuku urusi.
Kuhusu wayahudi kuwa ndiyo vichwa hakuna awezae bisha kwani hata akina Einstein, Fritz Herber, walifanya makubwa huko ujerumani na ni wajerumani lakini asili yao ni Israel au ukiulizwa RIKI SUNAKI waziri mkuu mpya wa uingereza ni muingereźa au mhindi?
 
Walichofanya US ni kuiba andiko la huyu mzee wakalitafsiri kwa kingereza then Lockheed wakaunda ndege ya kwanza yenye tech ya stealth kwa ajili ya ku demonstrate hii teknolojia iliyoitwa Have Blue na baadae wakaja na ndege vita ya F-117 mwaka 1988
Screenshot_20230326-142313~2.png
 
Walichofanya US ni kuiba andiko la huyu mzee wakalitafsiri kwa kingereza then Lockheed wakaunda ndege ya kwanza yenye tech ya stealth kwa ajili ya ku demonstrate hii teknolojia iliyoitwa Have Blue na baadae wakaja na ndege vita ya F-117 mwaka 1988View attachment 2566521
maabara zoote urusi na wataalamu ni Wayahudi....
 
Thibitisha
Nikuulize swali?!
Kwa nini vita kati ya waarabu na Yahúdi mara zoote mwarabu anashindwa huku akisaidiwa silaha na mrusi?
Halafu unajua mtengenezaji wa bomu la nuclear ni Myahudi kwa ordêr ya hitler?.....
 
Konstantin Tsiolkovsky baba wa hesabu za kurusha rocket angani

Nikolai N Bernados, mgunduzi wa welding machine.
 
Hiyo AK-47 imekuwa na mchango upi wa maana katika historia ya maisha ya binadamu kwa ujumla?

Manufaa ya uvumbuzi wa bunduki ya AK-47 katika maisha ya binadamu unaweza kulinganisha na yale ya ndege, simu, electric bulb ama computer?
Ukombozi wa africa
 
Nikuulize swali?!
Kwa nini vita kati ya waarabu na Yahúdi mara zoote mwarabu anashindwa huku akisaidiwa silaha na mrusi?
Halafu unajua mtengenezaji wa bomu la nuclear ni Myahudi kwa ordêr ya hitler?.....
Ndo umethibitisha hivi? Mi nilitegemea utaniorodheshea hizo lab na wanasayansi wake kuonyesha uhalali wa hoja yako. Huu ni uzi wa wanasayansi so sitegemei siasa
 
Ndo umethibitisha hivi? Mi nilitegemea utaniorodheshea hizo lab na wanasayansi wake kuonyesha uhalali wa hoja yako. Huu ni uzi wa wanasayansi so sitegemei siasa
Sikulazimishi ujue ninacho kijua!
Ila ujue hiki kidogo tu!
Baada ya hitler kuwaagiza wanasayansi wake ämbao walikuwa Wayahudi kuwa anataka kutawala dunia hivyo wamtengenezee mabomu na.5 ili kontinenti likileta ubishi alifute duniani!
Wakamhakikishia inawezekana ila awatafutïe eneo salama!
hitler akawaita majenerali wake akawaamuru waivamie Poland na kuchukua milima ya Alps alikowaficha wale wanasayansi wa kiyahudi kwa kazi maalum!
Baada ya muda Wanasayansi wakatengeneza mabomu mawili!; na kuvujisha siri ya hitler kwa Waingereza ambao waliwatuma makomandoo na helcopter kuvamia ile maabara na kuchukua yale mabomu!
Wanasayansi wa Uingereza kuyachunguza yale mabomu wakaona ikitokea Ajali kisiwa cha ungereza kitafutika wakamuomba Marekani Awatunzie ule Mzigo!
hitler baada ya kuona Wayahudi wamevujisha siri yake akaanza kuwauwa na kuwatupa kwenye gas chembers....
Na kutangaza vita ya dunia....
Ndipo vita na mauaji ya Wayahudi kukolea wanasayansi wa Kiyahudi wakaenda UKIMBIZINI URUSI NA MAREKANI.....
Sio Lazima uamiñi wala sitaki Mbango!
Ukipenda nikuletee kisa cha Marekani kujiunga vita kuu ya pili ya dunia na kisa cha kui-Nuke Hiroshima Nagasaki na nani kamshauri....
 
Sikulazimishi ujue ninacho kijua!
Ila ujue hiki kidogo tu!
Baada ya hitler kuwaagiza wanasayansi wake ämbao walikuwa Wayahudi kuwa anataka kutawala dunia hivyo wamtengenezee mabomu na.5 ili kontinenti likileta ubishi alifute duniani!
Wakamhakikishia inawezekana ila awatafutïe eneo salama!
hitler akawaita majenerali wake akawaamuru waivamie Poland na kuchukua milima ya Alps alikowaficha wale wanasayansi wa kiyahudi kwa kazi maalum!
Baada ya muda Wanasayansi wakatengeneza mabomu mawili!; na kuvujisha siri ya hitler kwa Waingereza ambao waliwatuma makomandoo na helcopter kuvamia ile maabara na kuchukua yale mabomu!
Wanasayansi wa Uingereza kuyachunguza yale mabomu wakaona ikitokea Ajali kisiwa cha ungereza kitafutika wakamuomba Marekani Awatunzie ule Mzigo!
hitler baada ya kuona Wayahudi wamevujisha siri yake akaanza kuwauwa na kuwatupa kwenye gas chembers....
Na kutangaza vita ya dunia....
Ndipo vita na mauaji ya Wayahudi kukolea wanasayansi wa Kiyahudi wakaenda UKIMBIZINI URUSI NA MAREKANI.....
Sio Lazima uamiñi wala sitaki Mbango!
Ukipenda nikuletee kisa cha Marekani kujiunga vita kuu ya pili ya dunia na kisa cha kui-Nuke Hiroshima Nagasaki na nani kamshauri....
Nilivoona unataja Alps kuwa Poland nimegundua we nimpiga porojo. Usihangaike kuniletea ushahidi mwingine kaa nao tu. Nature ya huu uzi sio porojo na stori za vibarazani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom