kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,992
- 17,892
Huu wizi wa startimes kwa watanzania utaisha lini?
Siku za karibuni walikuja na option ya kubadili kifurushi kwa simu na pia wakaweka vifurushi ya siku week na mwezi
Sasa mimi juzi niliunga cha siku then jana nikabadili nikanunua cha siku kwa kubadili tena
Leo rasmi nimeamua kununua cha mwezi baada ya kuona vya siku na week vinacost sana sasa nikashangaa hawajafungua channels toka asubuh nikaamua kuwapigia walichonijibu ni kuwa
"Mteja haturuhusu mtu kubadili kifurushi zaidi ya mara tatu kwa mwezi hatutaweza kukufungulia channel kwasababu umebadili kifurushi chako mara tatu hivyo inabidi usubiri mpaka mwezi uishe ulipe tena ndo tutakufungulia channel s"
Halafu kuhusu local nikitaka ziwe bure eti nilipe elfu 45 nyingine then watanifungulia hapa sio kweli ndugu zangu wanazifungua baada ya miez 3 zinakata wanakwambia kalipie tena elfu 45
Hivi tcra hawa "wezi" wamewapa nini???
Hivi JMT nzima inawaogopa hawa wachina???
Hawa wachina wana nini mpaka waogopwe??
Nini kipo nyuma ya ajenda?????
Hivi serikali ya hapa kazi tu na tambo zote mmeshindwa kuwashughulikia hawa "wanyonyaji" "mabeberu"??
Nashangaa sana hivi mtu wa huko kijjini mtanzania anayeishi chini ya 1500 kwa siku ataweza kumudu kulipia local channels kwa elfu kumi kwa mwezi???
Wanatumia mitambo yetu kusambaza huduma nchi nzima,
Walipokea ruzuku ya serikali zaidi ya bilioni 3 kufunga minara na kusaidia kueneza digital hapa tz
Halafu nasikia toka 2013 mpaka 2016 hawakuwahi kulipa kodi hata thumni
Juzi juzi ndo wameanza kulipa...
Hivi watz hawa wachina tunawafanyaje???Ni njia gani sahihi ya kuwabana hawa watu waache kwenda kinyume na taratibu na sheria za nchi yetu?hebu tupeane mawazo
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku za karibuni walikuja na option ya kubadili kifurushi kwa simu na pia wakaweka vifurushi ya siku week na mwezi
Sasa mimi juzi niliunga cha siku then jana nikabadili nikanunua cha siku kwa kubadili tena
Leo rasmi nimeamua kununua cha mwezi baada ya kuona vya siku na week vinacost sana sasa nikashangaa hawajafungua channels toka asubuh nikaamua kuwapigia walichonijibu ni kuwa
"Mteja haturuhusu mtu kubadili kifurushi zaidi ya mara tatu kwa mwezi hatutaweza kukufungulia channel kwasababu umebadili kifurushi chako mara tatu hivyo inabidi usubiri mpaka mwezi uishe ulipe tena ndo tutakufungulia channel s"
Halafu kuhusu local nikitaka ziwe bure eti nilipe elfu 45 nyingine then watanifungulia hapa sio kweli ndugu zangu wanazifungua baada ya miez 3 zinakata wanakwambia kalipie tena elfu 45
Hivi tcra hawa "wezi" wamewapa nini???
Hivi JMT nzima inawaogopa hawa wachina???
Hawa wachina wana nini mpaka waogopwe??
Nini kipo nyuma ya ajenda?????
Hivi serikali ya hapa kazi tu na tambo zote mmeshindwa kuwashughulikia hawa "wanyonyaji" "mabeberu"??
Nashangaa sana hivi mtu wa huko kijjini mtanzania anayeishi chini ya 1500 kwa siku ataweza kumudu kulipia local channels kwa elfu kumi kwa mwezi???
Wanatumia mitambo yetu kusambaza huduma nchi nzima,
Walipokea ruzuku ya serikali zaidi ya bilioni 3 kufunga minara na kusaidia kueneza digital hapa tz
Halafu nasikia toka 2013 mpaka 2016 hawakuwahi kulipa kodi hata thumni
Juzi juzi ndo wameanza kulipa...
Hivi watz hawa wachina tunawafanyaje???Ni njia gani sahihi ya kuwabana hawa watu waache kwenda kinyume na taratibu na sheria za nchi yetu?hebu tupeane mawazo
Sent using Jamii Forums mobile app