Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,643
- 6,822
Naomba niwaulize hivi kifurushi cha 17,000/= ni channel zipi za maana mnazotuuzia? Azam 1, Azam 2, sinema zetu, UTV, MBC Plu Piwer na KIX? Ktk hizi chanel ni ipi mnaona kwamba ni chanel itakayobeba zingine kuendana na thamani ya pesa yetu?
Mmechukua league yetu ila mipira yote mmeweka kwenye kifurushi cha 25,000/= yani Watanzania tusiomudu hichi kifurushi aende mabanda ya kuonyesha mpira. Sio kila Mtanzania ana uwezo wa kulipia hichi kifurushi na mpira ndio burudani yetu tulio wengi.
ZBC 2 walikuwa wanaonyesha michuanobya club bingwa barani Africa ila kwa uchu na tamaa mmeanza kuzihamisha baadhi ya mechi kwenda Azam sport HD ili kutulazimisha tununue kifurushi kikubwa tusichomudu kwa elfu ishirini na tano.
Kwasababu kwa sasa nyinyi ndio kimbilio la wengi basi mnatumia fursa hii kutukandamiza bila kujali hali zetu za kiuchumi kwa Watanzania walio wengi.
Angalieni upya na kufikiria zaidi ni Watanzania wangapi wapenda soka wazalendo mnaowanyima haki ya kufurahia timu zao na familia na badala yake wanaenda vibanda umiza au bar kujichanganya na walevi na wahuni juangalia timu zao.
Mmechukua league yetu ila mipira yote mmeweka kwenye kifurushi cha 25,000/= yani Watanzania tusiomudu hichi kifurushi aende mabanda ya kuonyesha mpira. Sio kila Mtanzania ana uwezo wa kulipia hichi kifurushi na mpira ndio burudani yetu tulio wengi.
ZBC 2 walikuwa wanaonyesha michuanobya club bingwa barani Africa ila kwa uchu na tamaa mmeanza kuzihamisha baadhi ya mechi kwenda Azam sport HD ili kutulazimisha tununue kifurushi kikubwa tusichomudu kwa elfu ishirini na tano.
Kwasababu kwa sasa nyinyi ndio kimbilio la wengi basi mnatumia fursa hii kutukandamiza bila kujali hali zetu za kiuchumi kwa Watanzania walio wengi.
Angalieni upya na kufikiria zaidi ni Watanzania wangapi wapenda soka wazalendo mnaowanyima haki ya kufurahia timu zao na familia na badala yake wanaenda vibanda umiza au bar kujichanganya na walevi na wahuni juangalia timu zao.