mankachara
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 6,161
- 3,496
Kwani kuna tofauti gani kati ya home na nyumbani?Hapana
Siko home...niko nyumbani mkuu
Kwani kuna tofauti gani kati ya home na nyumbani?Hapana
Siko home...niko nyumbani mkuu
😃😃Unaogopa maumivu [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Kwani kuna tofauti gani kati ya home na nyumbani?
Ndio.Mkuu bado uko home?
Njoo nikutoboe mimi, vifaa ninavyo[emoji39][emoji16][emoji16][emoji16]Ooops tena umenikumbusha,Sijapata tu mda wa kwenda kwa sonara ila nitatoboa
Kama uhuni mtu anao anao tu
Kutoboa pua Ni urembo tena mabibi zetu waliutumia saaaana
NITATOBOA AISEE
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah..hotpot girl [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapana
Siko home...niko nyumbani mkuu
Hahahaha!!Hapana
Siko home...niko nyumbani mkuu
Mtoa mada inaonyesha wewe ni kati ya watu ambao hawajawahi kufika mikoa ya pwani kama vile MTWARA au LINDI.
Ushauri:
Fanya Safari Nenda Kati ya Mikoa tajwa hapo Juu ili ukapate elimu juu ya(kipini) kutoboa pua.
Mtoa mada inaonyesha wewe ni kati ya watu ambao hawajawahi kufika mikoa ya pwani kama vile MTWARA au LINDI.
Ushauri:
Fanya Safari Nenda Kati ya Mikoa tajwa hapo Juu ili ukapate elimu juu ya(kipini) kutoboa pua.
Mikamasi inakutoka na kipini chako kipo
Naona tunapishana umri sana hapa. Kwanza kuna tofauti kati ya kipini (huwekwa kwa juu ya pua) na kishaufu (huvaliwa kwenye huu "ukuta" kati ya hizi tundu mbili za pua).Mbna huo ni utamaduni wa enzi na enzi? Hakuna tatizo hata kidogo, ni urembo tu kwa dada zetu
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahaaaaNjoo nikutoboe mimi, vifaa ninavyo[emoji39][emoji16][emoji16][emoji16]
Hujambo ewe nikupendae?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila MTU na taste na preference yakeNaona tunapishana umri sana hapa. Kwanza kuna tofauti kati ya kipini (huwekwa kwa juu ya pua) na kishaufu (huvaliwa kwenye huu "ukuta" kati ya hizi tundu mbili za pua).
Pili-haya mambo yapo toka zamani sana hasa mikoa ya kanda za pwani kuamzia Tanga na kushuka, wakati tu wadogo enzi hizo uvaaji wa hivi vitu ulikuwa ni kawaida sana na ni parti ya urembo tu. Na wanaopendeza na vipini ni wengi tu kutegemea ni cha aina gani.
Tatu hakuna uhusiano kati ya uhuni na hivyo vitu kiasilia labda kwa siku hizi kama watu wanavaaa kwa nia nyingine.
Nne kwa wapenzi wa muziki -mcheki Ferre Gola nae anavaa, sasa sijui yeye katolea wapi hiyo. Kuna mwimbo wake ana -collabo na dada wa Kenya. Sijawahi actually kuona wanaume wakivaa hivyo ukiacha huyu mkaka, tena anavaa kishaufu.
Kila MTU na taste na preference yake
Kama wewe unawependa kimpango wako
Kwangu Mimi mwanamke akivaa kipini puani namtema ptuu nahisi kinyaa naweza tapika au kustimulate mwili mithili ya allergy
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu najaribu kupiga picha ya mdada amevaa kipini huku kamasi zinamtoka-naona haiji kabisa labda awe ni mchafu asiyejitambua.Mikamasi inakutoka na kipini chako kipo