Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,284
- 39,511
- Thread starter
- #21
Usiku mwema mzee baba
Mkuu tunakesha na bia.za makonda
Sent from my iPhone using JamiiForums
Usiku mwema mzee baba
We huon utofauti??Bado najiuliza uhusiano wa kutoboa pua na uhuni uko wapi?
Kama hushangai wakitoboa masikio, kwanini ushangae wakitoboa pua?
- KANA -
Teh!ha ha ha ha
Mida ya wanga hii jama..Teh!
Mida ya wanga hii jama..
you may not start conversation with the following recipient;Tairus
Kabisa..Tuwapishe?
Nasemaga nina roho ngumu ila mzee umenizidiNi urembo tu wapo wengine kinawapendeza.
Sasa usiombe ukakutana na mdada aliweka hereni kwny mashavu ya K...kuna diaspora mmoja nilikuta kaweka hiyo kitu yani wakati naingia chumvini nlikuwa najiona kama natembelea yale makumbusho ya watumwa kule bagamoyo maana kuna yale madude walikuwa wanafungiwa mnyororo yapo kama bile vihereni wanavyoweka kwny papuchi
Unaogopa maumivu [emoji2] [emoji2] [emoji2]Ni urembo tu
Binafsi nakitamani ila kutoboa pua nahisi inaumaaaa
Halafu baba na mama hawatonielewa[emoji2]
Kuna jambo ambalo me huwa nafikir then sipati jibu la uhakika, kuhus hawa dada zetu wenye tabia ya kuweka pin puani.Hivi kwa mwanamke anajielewa anaweza fanya ujinga kama huo wa kuweka au kutobo pua??
Ukifuatilia kwa makin utajua kuwa wenye hii tabia ni malaya, machangudoa, baamedi nk haya ndo mambo yao.
Na kwa mwanaume ambae anajielewa sidhan kama ataruhusu mpenzi/ mke wake afanye ujinga wa kiwango cha lami kma huu.
Mwanamke anaejielewa na mwenye akili na ambae ni mke mtarajiwa hawez toboa pua. Kwangu mimi wanawake wa dizain hii ni wale ambao hawajatulia sijui nyie maoni yenu mnasemaje hili jambo...
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nasemaga nina roho ngumu ila mzee umenizidi
you may not start conversation with the following recipient;Tairus
Shida tunakuwa na complications za ajabu, shida ipo wapi kama mwanamke kwa mila mfano watasaidia anaweza kutoboa sikio mala mbali au tatu matundu makubwa tu, shida ni nini kutoboa pua akajiwekea kipini,Bado najiuliza uhusiano wa kutoboa pua na uhuni uko wapi?
Kama hushangai wakitoboa masikio, kwanini ushangae wakitoboa pua?
- KANA -