leo nimeguguli na kuangalia huko ulimwenguni kilimo kinavyofanyika, kwa kweli ni hatari, kuna ukilimo wa hali ya kiwango cha juu sana na tutahitaji karne ili kuwafikia na kuufikia ulimaji wa kisasa.
hapa ni kudanganyana tu ,mara madawa,mara mbegu bora, kusema kweli hatuna lolote la maana ni kama tunapigishwa maktaimu na viongozi wa ukulima hapa Tanzania.
hapa ni kudanganyana tu ,mara madawa,mara mbegu bora, kusema kweli hatuna lolote la maana ni kama tunapigishwa maktaimu na viongozi wa ukulima hapa Tanzania.