Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 21,709
- 51,134
Mbona bwana harusi mwenyewe anakimbiakimbia🤣?Anakaribia kuolewa nakuletea sampo ya sare ya kitchen party soon🤣
Mbona bwana harusi mwenyewe anakimbiakimbia🤣?Anakaribia kuolewa nakuletea sampo ya sare ya kitchen party soon🤣




sasa huyo atafanya nn? Anajua mie naweee tumetokaa wapiii? Mbna wifi kapataa akuje nimuonesheeee.Sasa huyu mwanaume mimi nampeleka uchagani kweli weeh! Nitake radhi tafadhali😂😂😂Mbona bwana harusi mwenyewe anakimbiakimbia🤣?
Hairuhusiwi Kwani?🤣🤣Sasa huyu mwanaume mimi nampeleka uchagani kweli weeh! Nitake radhi tafadhali😂😂😂
Laana hii nitatengwa na ukoo mzima hadi mkoa wote! 😂😂😂😂Hairuhusiwi Kwani?🤣🤣
Ashindw yeye kufunga ndoa?Naongezea 500k nyingine itimie 1M kamili.🤣🤣
Kwa heshima na upendo nilionao kwako kamwe siwez shea dushe na wewe.🤣Huyo ni wako shoga wasitugombanishe.Tena nitakusaidia kumchunga nyakunyaku wasikuibie🤣Sasa namrukia huko huko huyo clepatina wakooo, kwann aniingilie kwa baba tamu wangu? Yeye amekosaa wa kwake??
Akuje hapaaa anielezeeee.
utamu!!Laana hii nitatengwa na ukoo mzima hadi mkoa wote! 😂😂😂😂
Kwa heshima na upendo nilionao kwako kamwe siwez shea dushe na wewe.Huyo ni wako shoga wasitugombanishe.Tena nitakusaidia kumchunga nyakunyaku wasikuibie
Mkabe asichoropoke![]()






watu na udugu wetuuuuuu, nyaku nyaku wepiiii?? Kwangu hapanaaaaaa.Maharage yakikaribia kuiva huwa yanaruka ruka toa hofu harusi tunayo dada🤣🤣Mbona bwana harusi mwenyewe anakimbiakimbia🤣?
Daaah sa itakuwaje na yeye keshakukabidhi usukani uendeshe ndinga?Laana hii nitatengwa na ukoo mzima hadi mkoa wote! 😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣Vijora viwe pambe tafadhali,watu tujimwayemwayeMaharage yakikaribia kuiva huwa yanaruka ruka toa hofu harusi tunayo dada🤣🤣
Mie sio wa uswahilini, afu naolewa uchagani.Vijora viwe pambe tafadhali,watu tujimwayemwaye








nakaa arusha ila sijawahi kuskia hizo chimbo😂Unayoijua wee,![]()
Kwan unadhan wanajipanga barabarani km kimbokaa? Wee ni ku req mtu anakuja hadi ulipooo.nakaa arusha ila sijawahi kuskia hizo chimbo![]()






.Siwez kukuchukulia baba tamu wako dear😘Arururururururuh,
Niachie my wangu plz,
Haki ya kweli nilmelifind sasa nimeligeti hahahahaaa![]()





na hatuachaniiii kamweeee, mie na wee mileleeeeeee.Weuweeeeeeeeee!!!!! Hapo sasa mie rohoo kwatuuu.Siwez kukuchukulia baba tamu wako dear![]()




