Tuwachangamshe vipi wanaume wapole

Tuwachangamshe vipi wanaume wapole

Mnatuchanganya sasa, Mara pesa, Mara tuchangamke, Mara hatuna maajabu. Sasa hivi mnataka tuanze kucheka tukiwa site.. Kuna siku wanaume tutaamua kugoma nchi nzima mpaka mtuambie mnataka nini.
20230406_063527.jpg
 
Nyumba inatakiwa ichangamke, sasa nyie mnaoneana aibu amekuwa mzazi wako huyo? Akishindwa, njoo tuishieni upate mafunzo kwa vitendo
 
Mtoe out weekend mtoke wote mwende klabu ama sehemu za watu mchanganyiko kama hatulii vilevi mafundisho kidogo atachangamka
Ushauri mbovu huu... pombe tena ?? Na vipi gari likiwaka kwenye gia ??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom