Mao Tanzania
JF-Expert Member
- Nov 23, 2018
- 210
- 231
Pongezi JF
Nimekuwa nikiwasiliana na watu kadhaa walioshiriki kwa namna moja au nyingine kwenye kura za Maoni. Jambo moja naona limejitokeza, Kuna maelezo kuwa Rushwa imetembea huenda kuliko wakati mwingine wowote.
Tumuunge Mkono Mwenyekiti wa CCM katika juhudi zake za kupambana na Rushwa katika Chama chake.
Lakini jambo la kustusha pia Ni tetesi kuwa TAKUKURU wameonywa kupunguza taarifa za Rushwa katika Uchaguzi huu, Maeneo mengi wamekamata na kuachia watuhumiwa.
Pia kumetumika pesa ambazo zimelipwa hadi kwa njia za mitandao ya simu. Jambo hili linaweza kufanyiwa kazi kwa nguvu ndogo Sana na wahusika kupatikana.
Wako wabunge watakao ingia kwa haki, lakini wako wataoingia kwa matumizi makubwa ya pesa. Hili linaweza kutatanisha usimamizi makini wa miradi ya kijamii.
CCM Pongezi lkn Ng'oeni Visiki vya Rushwa.
Cc Polepole, Dr. Bashiru na Mwenyekiti
Nimekuwa nikiwasiliana na watu kadhaa walioshiriki kwa namna moja au nyingine kwenye kura za Maoni. Jambo moja naona limejitokeza, Kuna maelezo kuwa Rushwa imetembea huenda kuliko wakati mwingine wowote.
Tumuunge Mkono Mwenyekiti wa CCM katika juhudi zake za kupambana na Rushwa katika Chama chake.
Lakini jambo la kustusha pia Ni tetesi kuwa TAKUKURU wameonywa kupunguza taarifa za Rushwa katika Uchaguzi huu, Maeneo mengi wamekamata na kuachia watuhumiwa.
Pia kumetumika pesa ambazo zimelipwa hadi kwa njia za mitandao ya simu. Jambo hili linaweza kufanyiwa kazi kwa nguvu ndogo Sana na wahusika kupatikana.
Wako wabunge watakao ingia kwa haki, lakini wako wataoingia kwa matumizi makubwa ya pesa. Hili linaweza kutatanisha usimamizi makini wa miradi ya kijamii.
CCM Pongezi lkn Ng'oeni Visiki vya Rushwa.
Cc Polepole, Dr. Bashiru na Mwenyekiti