Tuunganishe dots utekwaji wa Mo Dewji

Tuunganishe dots utekwaji wa Mo Dewji

Wasalaam wanabodi.. Hivi ni nyepesi nyepesi tu nizijuazo. Twende tusafiri pamoja..

1. Mo ana miliki hekari zaidi ya 90,000 za mkonge ambazo pia anatumia mkonge kutengeneza magunia.

2. Mo mwaka jana amekopesha serikali/vyama vya msingi magunia yenye thamani zaidi ya billion 10.. Mpaka anatekwa alikuwa hajalipwa na alisumbuana sana na serikali..

View attachment 906438

3. Mo mwaka huu aligoma kukopesha serikali magunia yake, serikali ikategemea magunia kutoka India. Wakala aliyeleta magunia kutoka India trip 1 tu akachemsha kodi za bandari, trip ya 2 mzigo ukamshinda ukabaki bandarini, Mo akaenda kuununua wote akaenda kuuweka store.

4. Serikali ikakosa magunia, hasahasa kwenye msimu huu muhimu wa korosho ambao mwaka jana kwa kodi moja tu ya (export levy) serikali ilidhurumu/iliwarusha wakulima zaidi ya Billion 200.

Sasa tuje kwenye nadharia:

5. Serikali baada ya kukosa magunia, ikabidi ianze kurumbana na Mo awapatie magunia. Mo labda aligoma akishinikiza alipwe pesa zake.. Serikali nayo ikatunisha misuli..
View attachment 906448

6. Baada ya kutokukubaliana, Mo akatekwa, ukizingatia msimu wa korosho tayari na magunia ya kutosha hawana. Mind you; Korosho kwa sasa ndio inaingiza pesa nyingi za kigeni kama sio nyuma ya utalii basi ni zaidi ya utalii.. kukosekana kwa magunia kutaadhiri ununuzi na usafirishaji wa korosho zilizununuliwa.

7. Naibu waziri wa ardhi akaenda Korogwe kwenye mashamba ya mkonge ya Mo akitishia kuyagawa kwa wananchi. *mind you, mashamba hayo ndio huzalisha hayo magunia*

8. From my source, juzi maghala yaliyoifadhi magunia yalifunguliwa na magunia yakapakiwa. Mmoja wa dereva aliyepakia magunia kuyapeleka Masasi ni rafiki yangu..

9. Deal done; Mo akakubali kushindwa hivyo akaachiwa aende zake.

Karibuni tujadili..

Cc: Pascal Mayalla Salary Slip @brittanica
Nimeanza kuelewa sasa sababu ya kutekwa kwa Mo.,
 
Kwani korosho ni lazima ipakiwe kwenye magunia natural? Si watumia polymer bags zinazozalishwa kwenye viwanda vya viroba hapa nchini?
 
Hivi ni kwa nini mwanzoni mwa mwaka huu rais alipokutana na wafanya biashara ikulu ili waeleze changamoto zao na MO kupewa nafasi ya kuongea nae hakuongea chochote kana kwamba hana au hajui changamoto zozote wanazokumbana nazo kama wafanya biashara wakubwa? Naona haikuwa kitu cha kawaida.
 
Nasikia kumbe kuna hela baadhi ya wafanya biashara wakubwa waliombwa kila mmoja kutoa wenzake wakatoa yeye nasikia alisema hawezi kutoa hiyo hela maana analipa kodi nyimgi na kubwa hivyo akafanyiwa umafia huo.hii nimeipata sehem nyeti kwa mtu ambae kwa kweli alivyokuwa anaongea huenda kama kuna kaukweli maana hapo alipo ni sehem nyeti
Unazdi kufungua milango Yang ya faham maana kuna Mkuu wa mkoa flan kla Mara ana sema ameongea na wenye viwanda wamekubal kuchangia
 
Mwalim Nyerere. aliwahi kufikishwa Mahkama za Umoja wa Mataifa kisa ..madeni aliyokopa kwa wazungu kuendelea nchi!

Alipofika kule alisema" hizo pesa walizotukopesha walizipata kwetu ..kupitia rasilmali na nguvu zetu!
kwa hiyo ni wameturudishia wenyewe na hatuta walipa!"
Na hakuwalipa kweli!
Iyo mahakama ya ajabu ivyo ilikua inaish zama za kale za mawe au? Ebu tupe details za iyo kesi tuitafute inaweza tusaidia tunakodaiwa
 
Bado "watekaji" wanaendelea kuumbuka mubashara bila chenga. Mungu anawaona!
 
Mungu anawaona I see!
Nasikia kumbe kuna hela baadhi ya wafanya biashara wakubwa waliombwa kila mmoja kutoa wenzake wakatoa yeye nasikia alisema hawezi kutoa hiyo hela maana analipa kodi nyimgi na kubwa hivyo akafanyiwa umafia huo.hii nimeipata sehem nyeti kwa mtu ambae kwa kweli alivyokuwa anaongea huenda kama kuna kaukweli maana hapo alipo ni sehem nyeti
 
Unazdi kufungua milango Yang ya faham maana kuna Mkuu wa mkoa flan kla Mara ana sema ameongea na wenye viwanda wamekubal kuchangia
Hii ishu ni kubwa kama utakumbuka kilichotokea kwa zacharia ikaja kwa davide mosha ndo imekuja kurukia na moo hawa ni miongoni mwa inaosemekana waligoma kutoa
 
Wasalaam wanabodi.. Hivi ni nyepesi nyepesi tu nizijuazo. Twende tusafiri pamoja..

1. Mo ana miliki hekari zaidi ya 90,000 za mkonge ambazo pia anatumia mkonge kutengeneza magunia.

2. Mo mwaka jana amekopesha serikali/vyama vya msingi magunia yenye thamani zaidi ya billion 10.. Mpaka anatekwa alikuwa hajalipwa na alisumbuana sana na serikali..

View attachment 906438

3. Mo mwaka huu aligoma kukopesha serikali magunia yake, serikali ikategemea magunia kutoka India. Wakala aliyeleta magunia kutoka India trip 1 tu akachemsha kodi za bandari, trip ya 2 mzigo ukamshinda ukabaki bandarini, Mo akaenda kuununua wote akaenda kuuweka store.

4. Serikali ikakosa magunia, hasahasa kwenye msimu huu muhimu wa korosho ambao mwaka jana kwa kodi moja tu ya (export levy) serikali ilidhurumu/iliwarusha wakulima zaidi ya Billion 200.

Sasa tuje kwenye nadharia:

5. Serikali baada ya kukosa magunia, ikabidi ianze kurumbana na Mo awapatie magunia. Mo labda aligoma akishinikiza alipwe pesa zake.. Serikali nayo ikatunisha misuli..
View attachment 906448

6. Baada ya kutokukubaliana, Mo akatekwa, ukizingatia msimu wa korosho tayari na magunia ya kutosha hawana. Mind you; Korosho kwa sasa ndio inaingiza pesa nyingi za kigeni kama sio nyuma ya utalii basi ni zaidi ya utalii.. kukosekana kwa magunia kutaadhiri ununuzi na usafirishaji wa korosho zilizununuliwa.

7. Naibu waziri wa ardhi akaenda Korogwe kwenye mashamba ya mkonge ya Mo akitishia kuyagawa kwa wananchi. *mind you, mashamba hayo ndio huzalisha hayo magunia*

8. From my source, juzi maghala yaliyoifadhi magunia yalifunguliwa na magunia yakapakiwa. Mmoja wa dereva aliyepakia magunia kuyapeleka Masasi ni rafiki yangu..

9. Deal done; Mo akakubali kushindwa hivyo akaachiwa aende zake.

Karibuni tujadili..

Cc: Pascal Mayalla Salary Slip @brittanica
Usihangaike sana na hizo dots tena.
Jamaa keshamaliza kila kitu.
Keshazikusanya dot zake majuu.
Sasa ndio kinaanza kuwaka
IMG-20181023-WA0024.jpeg
 
Wasalaam wanabodi.. Hivi ni nyepesi nyepesi tu nizijuazo. Twende tusafiri pamoja..

1. Mo ana miliki hekari zaidi ya 90,000 za mkonge ambazo pia anatumia mkonge kutengeneza magunia.

2. Mo mwaka jana amekopesha serikali/vyama vya msingi magunia yenye thamani zaidi ya billion 10.. Mpaka anatekwa alikuwa hajalipwa na alisumbuana sana na serikali..

View attachment 906438

3. Mo mwaka huu aligoma kukopesha serikali magunia yake, serikali ikategemea magunia kutoka India. Wakala aliyeleta magunia kutoka India trip 1 tu akachemsha kodi za bandari, trip ya 2 mzigo ukamshinda ukabaki bandarini, Mo akaenda kuununua wote akaenda kuuweka store.

4. Serikali ikakosa magunia, hasahasa kwenye msimu huu muhimu wa korosho ambao mwaka jana kwa kodi moja tu ya (export levy) serikali ilidhurumu/iliwarusha wakulima zaidi ya Billion 200.

Sasa tuje kwenye nadharia:

5. Serikali baada ya kukosa magunia, ikabidi ianze kurumbana na Mo awapatie magunia. Mo labda aligoma akishinikiza alipwe pesa zake.. Serikali nayo ikatunisha misuli..
View attachment 906448

6. Baada ya kutokukubaliana, Mo akatekwa, ukizingatia msimu wa korosho tayari na magunia ya kutosha hawana. Mind you; Korosho kwa sasa ndio inaingiza pesa nyingi za kigeni kama sio nyuma ya utalii basi ni zaidi ya utalii.. kukosekana kwa magunia kutaadhiri ununuzi na usafirishaji wa korosho zilizununuliwa.

7. Naibu waziri wa ardhi akaenda Korogwe kwenye mashamba ya mkonge ya Mo akitishia kuyagawa kwa wananchi. *mind you, mashamba hayo ndio huzalisha hayo magunia*

8. From my source, juzi maghala yaliyoifadhi magunia yalifunguliwa na magunia yakapakiwa. Mmoja wa dereva aliyepakia magunia kuyapeleka Masasi ni rafiki yangu..

9. Deal done; Mo akakubali kushindwa hivyo akaachiwa aende zake.

Karibuni tujadili..

Cc: Pascal Mayalla Salary Slip @brittanica
amennnnnn
 
Back
Top Bottom