Tuunganishe dots utekwaji wa Mo Dewji

Wasalaam wanabodi.. Hivi ni nyepesi nyepesi tu nizijuazo. Twende tusafiri pamoja..

1. Mo ana miliki hekari zaidi ya 90,000 za mkonge ambazo pia anatumia mkonge kutengeneza magunia.

2. Mo mwaka jana amekopesha serikali/vyama vya msingi magunia yenye thamani zaidi ya billion 10.. Mpaka anatekwa alikuwa hajalipwa na alisumbuana sana na serikali..

View attachment 906438

3. Mo mwaka huu aligoma kukopesha serikali magunia yake, serikali ikategemea magunia kutoka India. Wakala aliyeleta magunia kutoka India trip 1 tu akachemsha kodi za bandari, trip ya 2 mzigo ukamshinda ukabaki bandarini, Mo akaenda kuununua wote akaenda kuuweka store.

4. Serikali ikakosa magunia, hasahasa kwenye msimu huu muhimu wa korosho ambao mwaka jana kwa kodi moja tu ya (export levy) serikali ilidhurumu/iliwarusha wakulima zaidi ya Billion 200.

Sasa tuje kwenye nadharia:

5. Serikali baada ya kukosa magunia, ikabidi ianze kurumbana na Mo awapatie magunia. Mo labda aligoma akishinikiza alipwe pesa zake.. Serikali nayo ikatunisha misuli..
View attachment 906448

6. Baada ya kutokukubaliana, Mo akatekwa, ukizingatia msimu wa korosho tayari na magunia ya kutosha hawana. Mind you; Korosho kwa sasa ndio inaingiza pesa nyingi za kigeni kama sio nyuma ya utalii basi ni zaidi ya utalii.. kukosekana kwa magunia kutaadhiri ununuzi na usafirishaji wa korosho zilizununuliwa.

7. Naibu waziri wa ardhi akaenda Korogwe kwenye mashamba ya mkonge ya Mo akitishia kuyagawa kwa wananchi. *mind you, mashamba hayo ndio huzalisha hayo magunia*

8. From my source, juzi maghala yaliyoifadhi magunia yalifunguliwa na magunia yakapakiwa. Mmoja wa dereva aliyepakia magunia kuyapeleka Masasi ni rafiki yangu..

9. Deal done; Mo akakubali kushindwa hivyo akaachiwa aende zake.

Karibuni tujadili..

Cc: Pascal Mayalla Salary Slip @brittanica
mkuu fisadi kuu rudisha tuu ile avatar picha yako ya mwanzo ya riz1 and kadoti keusi shavuni tuliyokuzoea kwasababu unatuchanganya aisee mara avatar ya lowasa mara hii dah uhondo wa kusoma madini na nondo kama hii uliyoshusha inaendana mahsus na avatar picha iliyozoeleka
 
Kuendesha nch sio mchezo,ikulu hakukimbiliwi,kwenye hotuba best ya nyerer ile ya 1995 pale Kilimanjaro hoteli mwalimu alisema wakati anapita barabarani wakati yeye rais akiona ombaomba anaona ule ni mzigo wake,sasa NGOSHA ZE DON kavamamia ikulu pupa pupa akajua kina jahcarhire walikuwa wanafaidi,kuingia hola hakuna pesa,hela ya mshahara hana,akaanza kupunguza wafanyakazi nako hola,fukuza wateule wa kikwete labda aliona wana connection za wizi nako hola hela hana,punguza semina warsha safari makongamano sherehe za kitaifa labda hela itaonekana nako hola,akaona ngoja azuie mafao ya kujitoa nako hola,sasa ameanza kuvamia wafanyabiashara huku ndio atadondokea PUA kabisa maana ukicheza na mfanyabishara hakawii ku_shift the CAPITAL tu.

Mara ngapi? Kasome the citizen hisa za wenyewe zinauzwa watu wachanje mbuga
 
Hapa Kila Mmoja Atasema NYETI Alizoambiwa Haya Hebu Tumsome na Ngurumo Nae kwenye SAUTI KUBWA

*EXCLUSIVE*
*Revealed: Authorities in Tanzania want kidnapped billionaire’s wealth*

THE twist goes on in the abduction incident of the Tanzanian billionaire Mohammed Dewji (Mo), as new developments reveal a silent tug of war between top government officials and the billionaire regarding his wealth.

Sources close to Mo, have informed SAUTI KUBWA that in recent months he was undergoing intense pressure from the government to surrender huge plots of land adjacent to Stigler’s gorge – where the government is planning a 2,100 megawatts (2,800,000 hp) hydroelectric dam.

“Earlier plans to find a legal way of fixing him failed because of his clean record, so they resorted to forcing him to surrender part of his wealth. When he refused they resorted to punishing him this way, seeking ransom,” one of the sources said.

Government sources confirmed the same, adding that the matter had been once raised in a cabinet meeting, with President John Magufuli ordering Land and Settlements Minister William Lukuvi to take immediate action.

One senior minister offered to speak to the billionaire in order to make a smooth execution of the order. But Mo apparently refused to give in. He further told the minister that the same plots of land had been used as collateral for a huge loan from a foreign bank.

“This feedback infuriated the president even further,” one source told SAUTI KUBWA. The president was quoted as saying: “How can he brag as being a very wealthy businessman while he is using our land to borrow money from banks? He must relinquish it… and if he shows arrogance, I will deal with him.”

This president’s quote is similar to his other statements against “wealthy people.” Magufuli seems to nurse sadistic feelings against successful people.

And while some government sources had previously wished to distance the central government from this kidnapping incident, recent developments, plus the apparent silence of the president and prime minister, tend to give a clue about the source of kidnappers’ confidence in a highly guarded area, contradictory statements between police and regional authorities in Dar es Salaam, and the government’s refusal to engage external investigators.

Another highly positioned source informed SAUTI KUBWA that three days ago, at about midnight, the billionaire was moved from a secret location to Magogoni “on orders from above.”

The source added: “Certainly, the kidnappers have all blessings from above. Mo has so far refused to give them the ransom they want; so the big man said, ‘bring him here.’ I don’t know what is happening to him after that.”

Sources believe the government will eventually subdue him, and release him on tough conditions any time soon. They are currently planning a safe exit before calling the media to say “we got him.”

Simon Sirro, the Inspector General of Police, is planning to hold a press conference on Friday morning. This is the first time Sirro will be making a public statement since the billionaire was abducted on Thursday last week at Colosseum Hotel in Oysterbay.

Revealed: Authorities in Tanzania want kidnapped billionaire's wealth - Sauti Kubwa
 
Back
Top Bottom