Yani humu ndani kina Da Sophy wanatamani kuninyonga kwa msimamo wangu wa kupinga aina hii ya uzazi. Narudia kusisitiza kuwa si haki hata kidogo kwa mwanamke kukusudia kumzaa mtoto katika mazingira ya infidelity, mnawakosea watoto haki zao kutokana na starehe zenu wenyewe huko, ni ubinafsi na ni ufisadi.