tuungane kupinga uzazi unaotokana na infidelity

Mtu B

JF-Expert Member
Dec 2, 2008
919
51
Yani humu ndani kina Da Sophy wanatamani kuninyonga kwa msimamo wangu wa kupinga aina hii ya uzazi. Narudia kusisitiza kuwa si haki hata kidogo kwa mwanamke kukusudia kumzaa mtoto katika mazingira ya infidelity, mnawakosea watoto haki zao kutokana na starehe zenu wenyewe huko, ni ubinafsi na ni ufisadi.
 
Yani humu ndani kina Da Sophy wanatamani kuninyonga kwa msimamo wangu wa kupinga aina hii ya uzazi. Narudia kusisitiza kuwa si haki hata kidogo kwa mwanamke kukusudia kumzaa mtoto katika mazingira ya infidelity, mnawakosea watoto haki zao kutokana na starehe zenu wenyewe huko, ni ubinafsi na ni ufisadi.

si mwanamke tu ..
hii inaenda kwa kila mtu..
 
Naona umekuja kivingine, nakubaliana sana na huo msimamo wako, lakini nauchukia pia kwa sababu unaambatana na kiburi, dharau na matusi.

Unakuwa kama huishi kwenye dunia hii, ambayo hata Bwana Yesu alisema Tunaishi kwa Neema sio kwa matendo ya sheria. Unakuwa kama vile wewe hujawahi kutenda dhambi, wala hutendi dhambi.

Ashukuriwe Mungu kwa sababu yeye haangalii kama mwanadamu anavyoangalia, Siku moja Mfalme daudi alimkosea Mungu, akasema ni afadhali kuangukia ktk mikono ya Mungu kuliko kwene mikono ya mwanadamu.

Napingana na uovu wa namna yoyote na ninamheshimu Mungu. Lakini sipendi mtu anaekemea dhambi kwa kiburi na matusi, zaidi hata ya Mungu mwenyewe anavyotuonya.

BARIKIWA
 
si mwanamke tu ..
hii inaenda kwa kila mtu..

Nakubali, lakini angalao nafahamu kuwa watoto wanaumizwa sana na hii hali, na kikubwa zaidi ni kuwa mwanamke ana control kubwa zaidi ya mimba kuliko mwanaume. Na pia wapo wanaofanya makusudi kabisa, eti wanasema 'nataka nizae watoto wangu 2' bila kujali baba yao ni nani.
 
Nakubali, lakini angalao nafahamu kuwa watoto wanaumizwa sana na hii hali, na kikubwa zaidi ni kuwa mwanamke ana control kubwa zaidi ya mimba kuliko mwanaume. Na pia wapo wanaofanya makusudi kabisa, eti wanasema 'nataka nizae watoto wangu 2' bila kujali baba yao ni nani.

mmhh wewe hapo sasa sikubaliani nawe..

mimba ni tendo la watu wawili...
hii ndo ile mwanamke akipata mimba lakini hataki kuseema mume nani
wote wamuoa muhuni/malaya..
lakini hembu acheni hayo mwambo ya ku wa depress wanawake..

simple hutaki mtoto vaa condom..
hii yaa kusema wanawake ndo wazuie mimba sikubaliani nawe kabisa..
wote wa weza kufanya hilo nani jukumu lenu wote...
 
Naona umekuja kivingine, nakubaliana sana na huo msimamo wako, lakini nauchukia pia kwa sababu unaambatana na kiburi, dharau na matusi.

Unakuwa kama huishi kwenye dunia hii, ambayo hata Bwana Yesu alisema Tunaishi kwa Neema sio kwa matendo ya sheria. Unakuwa kama vile wewe hujawahi kutenda dhambi, wala hutendi dhambi.

Ashukuriwe Mungu kwa sababu yeye haangalii kama mwanadamu anavyoangalia, Siku moja Mfalme daudi alimkosea Mungu, akasema ni afadhali kuangukia ktk mikono ya Mungu kuliko kwene mikono ya mwanadamu.

Napingana na uovu wa namna yoyote na ninamheshimu Mungu. Lakini sipendi mtu anaekemea dhambi kwa kiburi na matusi, zaidi hata ya Mungu mwenyewe anavyotuonya.

BARIKIWA

Sizungumzii dhambi, ndio maana sijasema tupinge uzinzi au mambo kama hayo. Nasema tuwatetee watoto, tuungane kuzuia mambo yanayosababisha watoto kuteseka. Hilo tu. Kama kuna mtu anataka starehe yake atumie condom, au kama hataki condom basi afanye njia nyingine za kuzuia hizi wanazoita 'mimba zisizotakiwa', maana hata mtoto anayekuja kuzaliwa kwa mimba kama hiyo anajikuta katika dilemma. Na hata kama mama aliitaka mimba ile, bado mtoto anakuwa katika mazingira yanayomuumiza kihisia. Na sijatukana mtu yeyote, kwani ukimwona mtu akiiba ukamtaja kuwa ni mwizi, umemtukana? Na kuhusu kiburi naona unacho wewe unayetetea uovu bila hata chembe ya aibu.
 
mmhh wewe hapo sasa sikubaliani nawe..

mimba ni tendo la watu wawili...
hii ndo ile mwanamke akipata mimba lakini hataki kuseema mume nani
wote wamuoa muhuni/malaya..
lakini hembu acheni hayo mwambo ya ku wa depress wanawake..

simple hutaki mtoto vaa condom..
hii yaa kusema wanawake ndo wazuie mimba sikubaliani nawe kabisa..
wote wa weza kufanya hilo nani jukumu lenu wote...

Kwa hiyo mwanamke asizuie mimba? Azae tu?
 
Naona umekuja kivingine, nakubaliana sana na huo msimamo wako, lakini nauchukia pia kwa sababu unaambatana na kiburi, dharau na matusi.

Kweli kaja kivingine.... kafungua faili la malalamiko...

mmhh wewe hapo sasa sikubaliani nawe..

mimba ni tendo la watu wawili...
simple hutaki mtoto vaa condom..
wote wa weza kufanya hilo nani jukumu lenu wote...

Au fanya Vasectomy....

Kwa hiyo mwanamke asizuie mimba? Azae tu?

Jukumu la kuzuia mimba ni sawa na jukumu la kuzuia maambukizi ya magonjwa ya zinaa... ni responsibility yenu wote wawili... sio lawama kwa mwingine, si ungemwaga nje!!
 
Sizungumzii dhambi, ndio maana sijasema tupinge uzinzi au mambo kama hayo. Nasema tuwatetee watoto, tuungane kuzuia mambo yanayosababisha watoto kuteseka. Hilo tu. Kama kuna mtu anataka starehe yake atumie condom, au kama hataki condom basi afanye njia nyingine za kuzuia hizi wanazoita 'mimba zisizotakiwa', maana hata mtoto anayekuja kuzaliwa kwa mimba kama hiyo anajikuta katika dilemma. Na hata kama mama aliitaka mimba ile, bado mtoto anakuwa katika mazingira yanayomuumiza kihisia. Na sijatukana mtu yeyote, kwani ukimwona mtu akiiba ukamtaja kuwa ni mwizi, umemtukana? Na kuhusu kiburi naona unacho wewe unayetetea uovu bila hata chembe ya aibu.

Haya baba nimekuelewa, ubarikiwe mpaka ushangae.
 
Kwa hiyo mwanamke asizuie mimba? Azae tu?

sikia dear
mimi ninachosema swala la mtoto ni watu wawili...

swala la kusema mwanamke ndo anatakiwa azuie mimba wakati
wewe unapata starehe zako za kutoa mbegu zako ndani yake
si kubaliani nalo..

sikia kama unataka kwenda pekupeku ( hakikisha unatoa kabla maji hayakumwagika)
kama hilo ni gumu Condom ndo solution ...
na kwa nini kwanza usivae kama mtu si mkeo?

jibu lako hilo hapo unalo CONDOM..
unaua ndege wawili kwa jiwe moja..
au vipi...
 
sikia dear
mimi ninachosema swala la mtoto ni watu wawili...

swala la kusema mwanamke ndo anatakiwa azuie mimba wakati
wewe unapata starehe zako za kutoa mbegu zako ndani yake
si kubaliani nalo..

sikia kama unataka kwenda pekupeku ( hakikisha unatoa kabla maji hayakumwagika)
kama hilo ni gumu Condom ndo solution ...
na kwa nini kwanza usivae kama mtu si mkeo?

jibu lako hilo hapo unalo CONDOM..
unaua ndege wawili kwa jiwe moja..
au vipi...

:shock::shock::shock::shock:
 
Yani humu ndani kina Da Sophy wanatamani kuninyonga kwa msimamo wangu wa kupinga aina hii ya uzazi. Narudia kusisitiza kuwa si haki hata kidogo kwa mwanamke kukusudia kumzaa mtoto katika mazingira ya infidelity, mnawakosea watoto haki zao kutokana na starehe zenu wenyewe huko, ni ubinafsi na ni ufisadi.

Eti eheee!!!!!
 
Naona umekuja kivingine, nakubaliana sana na huo msimamo wako, lakini nauchukia pia kwa sababu unaambatana na kiburi, dharau na matusi.

Unakuwa kama huishi kwenye dunia hii, ambayo hata Bwana Yesu alisema Tunaishi kwa Neema sio kwa matendo ya sheria. Unakuwa kama vile wewe hujawahi kutenda dhambi, wala hutendi dhambi.

Ashukuriwe Mungu kwa sababu yeye haangalii kama mwanadamu anavyoangalia, Siku moja Mfalme daudi alimkosea Mungu, akasema ni afadhali kuangukia ktk mikono ya Mungu kuliko kwene mikono ya mwanadamu.

Napingana na uovu wa namna yoyote na ninamheshimu Mungu. Lakini sipendi mtu anaekemea dhambi kwa kiburi na matusi, zaidi hata ya Mungu mwenyewe anavyotuonya.

BARIKIWA

Umemaliza kabisa
 
.



Au fanya Vasectomy....


si unaona ona eehhh
hata wao wanuwezo mkubwa sana wa kuzuia haya mambo..
lakini wanata easy way out blaming a women...

aahhh bibie Jmosi leo mie pressure sitaki
karibu wine, crackers na dip (Gherkin relish dip)
lol
 
Back
Top Bottom