Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,281
- 31,415
Ahahahahaa sasa huko si ndo kuna kukaa na marehemu siku zaidi ya moja..!?Kanisa tena nisiingie?Nitapata wapi upako mkuu?Lazima nichome ndani😂😂😂😂
Ahahahahaa sasa huko si ndo kuna kukaa na marehemu siku zaidi ya moja..!?Kanisa tena nisiingie?Nitapata wapi upako mkuu?Lazima nichome ndani😂😂😂😂
Kanisa letu hilo haturuhusiwi.Jambo muhimu kwenye "sinagogi" letu huwa tunaingia tumevaa "suti za kulalia"!Marehemu angeogopa sana!😂😂😂😂Ahahahahaa sasa huko si ndo kuna kukaa na matehemu siku zaidi ya moja..!?
aise umetishaMimi nipo likizo lakin kama ni mzazi wangu na kila anayepita anaacha elfu kumi naweza fikiria kuongeza sk
Mtu anapo kufa kuna taratibu za kuaga na kuzika kulingana na imani na tamaduni za jamii husika. Kwa waislamu maiti haioneshwi hadharani badala yake ndugu wa karibu tu ndio wanaweza kuiona. Lakini kwa baadhi ya imani na tamaduni ikiwa ni pamoja na serikali, mtu akifa anaagwa kwa kuoneshwa hadharani...
Kwa nini hatuwezi kukubaliana na kuweka "utaratibu wa kiTanzania"?Sasa mnataka wakristu wafuate ya kiislamu?.. Waislamu waendelee na utaratibu wao na wakristu nao waachwe waendelee...
Anataka kujifananisha na Mzee Mkapa anadhani ni mtu wa kawaida kama yeye...watu kama Mzee Mkapa hawazaliwi kila siku wala hovyohovyo anaweza kuzaliwa mmoja baada ya miaka kadhaa ....amuache apate heshima yake anayostahiliUkifa / Ukifariki Wewe huu Ushauri wako wa ' Kipopoma 'mno tutauzingatia na kuufuata, ila kwa Heshima ya Rais Mzee Mkapa acha aonyeshwe tu.
Anataka kujifa
Anataka kujifananisha na Mzee Mkapa anadhani ni mtu wa kawaida kama yeye...watu kama Mzee Mkapa hawazaliwi kila siku wala hovyohovyo anaweza kuzaliwa mmoja baada ya miaka kadhaa ....amuache apate heshima yake anayostahili
Mimi nipo likizo lakin kama ni mzazi wangu na kila anayepita anaacha elfu kumi naweza fikiria kuongeza sk
Hakuna kitu maonesho ni imani tu na tafsiri yako juu ya jambo hili. Kila jambo lina maana yake ukilichunguza kwa upande wa pili.Mtu anapo kufa kuna taratibu za kuaga na kuzika kulingana na imani na tamaduni za jamii husika. Kwa waislamu maiti haioneshwi hadharani badala yake ndugu wa karibu tu ndio wanaweza kuiona. Lakini kwa baadhi ya imani na tamaduni ikiwa ni pamoja na serikali, mtu akifa anaagwa kwa kuoneshwa hadharani...
Ingekuwa fasta.
Mtoa post hatuwezi kuwa na tamaduni zinazofanana NEVER....kila mtu afate tamaduni zake,nchi huru hii
Mtoa post hatuwezi kuwa na tamaduni zinazofanana NEVER....kila mtu afate tamaduni zake,nchi huru hii
ila Aboud Jumbe aliwatia alikataa hayo mambo yaoHuo ndio utaratibu uliowekwa na serikali inabd tuufwate